Kwa wapenzi wa simu za Samsung Galaxy A series, ngoja leo tujuzane kitu kidogo

Kwa wapenzi wa simu za Samsung Galaxy A series, ngoja leo tujuzane kitu kidogo

kuna ktu skielewagi kuhusu hawa samsung. yaan kwa nn wanatoa simu yenye higher specifications mfano (A80) imetoka 2019. afu mwaka 2023 wakaja kutoa simu yenye lower specifications (A24) wakati zote ni A series. yaan n kwa nn hawafati chronological order kama wanavofanya kwny smu zao za S series?
 
kuna ktu skielewagi kuhusu hawa samsung. yaan kwa nn wanatoa simu yenye higher specifications mfano (A80) imetoka 2019. afu mwaka 2023 wakaja kutoa simu yenye lower specifications (A24) wakati zote ni A series. yaan n kwa nn hawafati chronological order kama wanavofanya kwny smu zao za S series?
Na bei nayo iendelee kupanda? Si itafika hatua bei itapita hata hizo S-series?

Kumbuka walengwa ni watu wa chini, Watu hao wapo kila siku mpaka dunia inaisha,
Kuna watu technolojia ikienda juu wao uchumu unashuka chini, hivyo inabidi usiwanyanyapae.
Hata huo mwaka 2019 walikua na nyingine za low specs kwa bei ya chini.

Unachotakiwa uangalie je Kwenye huo mwaka je katika A-series ni ipi ilikua juu? Njoo ulinganishe na A-serie iliyopo juu mwaka uliopo, mfano hio A80 vs A55.
 
Samsung yangu hamna kitu inaizidi infinix yangu.
Hadi camera inazidiwa.
Kumbe sababu ni A series.
 
Next week nidake A55 nijibambe huku nikiendelea kuvuta kasi ya kuhamia flagship S series
 
Binafsi samsung nitatumia s series pekee, nkibadili labda samsung fold na flip. Note series sijazikubali sana tena nashukuru walivyositisha kuzitengeneza, viva samsung💪
 
Binafsi samsung nitatumia s series pekee, nkibadili labda samsung fold na flip. Note series sijazikubali sana tena nashukuru walivyositisha kuzitengeneza, viva samsung💪
S series na A series ipi inakaa sana na chaji?
 
Mbona watu wanaziponda?
Yeah.. A series zina weakness pia.
Kwa watu wanaojali performance A series huwa wanafanya poor selection of chipset for the price.
Ila battery, ukaaji chaji zipo vizuri
 
Back
Top Bottom