Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
mimi ndio nilikaambia na sikumaanisha hivyo , nilimkataza ufanya baadhi ya vitu/lkuwasiliana/lkwenda disco bila mimi etc sasa eti kwa vile nilimuona na baadhi ya watu ananiambia eti kama nataka nikapigane nao eti hayo ndio mapenzi?immature minds speak shits like that......ila pia we dont suppose to fight for a love....we simply make love ,give love ,receive love n.k ,we dont fight for for it labda kwenye tamthilia tu na movie.
japo hiyo lugha iliyotumika kukuambia ni ya kitoto zaidi na inaashiria you are no longer( hupendwi ,huthaminiwi tena)
nimekusoma mkuu ila inauma
Maisha haya yashakua mafupi hakuna haja ya kuuana kwa strec especial kujihucsha na wanaume ndevu ambao bado wana akili za kivulana ndio wanakuaga na majibu ya dharau km hayo,cheki waiting list km kuna mwenye akili ya kimwanaume songesha maisha mapnz hayalazimshwi atii!
Kama unapita kimya ntachanganya na za mbayuwayu, ila ukiropokea si wa kupiganiwa aisee ya wanawake wa kenya itakuwa cha mtoto. Ntashusha timbwili mpaka atapike maziwa ya utotoni.
kizunguzungu hapa!!!!!!!!!!!!aiseeeee!km ni kweli ungemMP huu ujumbe ingekuwa vizuri zaid.wewemwanamke una matatizo , mimi hukunielewa kabisa ..yaani wewe unafanya upumbavu ili mimi niende nikagombane na watu eti kwa kitu ambacho nilikukataza sasa mapenzi yako wapi hapa.? wewe ndio unaleta visa na nilishakuambia kuwa ni kweli mimi nimekukataza kufanya baadhi ya vitu , sasa eti kwa vile nilikukataza kuongea na fulani ndio nikikuona naye niende kupigana naye eti ndio wewe unafurahia? kunguru always hafugiki nakuangalia tu
Mie mwenyewe siwezi kumpigania mwanaume kwa sababu yoyote (labda akiwa kwenye coma ama kadata!). Mapenzi ni hiari, nitamruhusu achague kuwa nami kwa mapenzi, otherwise nachukua ndogo ndogo! Muhimu nitamlinda kama ataniruhusu tu! Basi!
nimesha mpm ila yeye kaja kuileta huku na ndio maana na mimi nimekuja, ili watu wamuelewe. kama post imekukera iruke tu hamna shidakizunguzungu hapa!!!!!!!!!!!!aiseeeee!km ni kweli ungemMP huu ujumbe ingekuwa vizuri zaid.
Hujaelewa kwa kuwa we ni BWANA CHUCHU na saint aliomba WADADA TU.....Teh pole....mi napita tuHapa tunazungumzia kupigana katika muktadha gani?
Hujaelewa kwa kuwa we ni BWANA CHUCHU na saint aliomba WADADA TU.....Teh pole....mi napita tu
kwa hiyo unataka mvulana wako akapigane na watu ambao unawapa ushirikiano mwenyewe? unafikiri atakuwa na akili timamu kweli?Yaani hapo nikiondoka namsubiri badaye apige simu hlf nimuulize yeye ni nani,nadhani atajiongoza mwenyewe!
kupigana hiyo hamna bana ,hapo alitakiwa akupe love km nilivyosema hapo juu.....ila this z more serious kidogo than other think!....hapo mm naona issue sasa ni communication zaid haijakaa vizuri either way.mimi ndio nilikaambia na sikumaanisha hivyo , nilimkataza ufanya baadhi ya vitu/lkuwasiliana/lkwenda disco bila mimi etc sasa eti kwa vile nilimuona na baadhi ya watu ananiambia eti kama nataka nikapigane nao eti hayo ndio mapenzi?
haijanikera mkuu ila nimeona mnakuwa open na very serious na mambo ya ndani hadharani zaidi.....anyway if that is the case ngoja tujaribu kuendelea kushauri tu!nimesha mpm ila yeye kaja kuileta huku na ndio maana na mimi nimekuja, ili watu wamuelewe. kama post imekukera iruke tu hamna shida
Inategemea na msichana mwenyewe kama anaonesha direction and if she's serious with me but sitamwambia live kwamba ntampigania but she would see in my actions to her, but if its just a friend with benefit hata sithubutu incase mambo yakiharibika.., that are mine
We msichana kumbe??
nimekupata kaka ila kuwa na msichana ambaye ni mgumu kuelewa na mbishi ni kazi sana. kila saa lazima kicha kikuume .unamwambia hiki yeye anatafsiri hivi.kupigana hiyo hamna bana ,hapo alitakiwa akupe love km nilivyosema hapo juu.....ila this z more serious kidogo than other think!....hapo mm naona issue sasa ni communication zaid haijakaa vizuri either way.
sikuelewi na sikujui lkn unafanya kama vile am yours...............yani wavulana wa humu cjui wakoje,,,,,,,,,,,,,au ni kujimilikisha tu................huniwezi ww hii mashine kubwa tuliza boliwewemwanamke una matatizo , mimi hukunielewa kabisa ..yaani wewe unafanya upumbavu ili mimi niende nikagombane na watu eti kwa kitu ambacho nilikukataza sasa mapenzi yako wapi hapa.? wewe ndio unaleta visa na nilishakuambia kuwa ni kweli mimi nimekukataza kufanya baadhi ya vitu , sasa eti kwa vile nilikukataza kuongea na fulani ndio nikikuona naye niende kupigana naye eti ndio wewe unafurahia? kunguru always hafugiki nakuangalia tu