Kwa wasifu huu naweza kupata nafasi ya kujiunga na chombo chochote cha ulinzi na usalama?

Nafasi zimetoka Leo..ila ww kinachokuweka pemben ni hyo four ya 33,wao wanataka mwisho 32..na umri ww ni 19,wao wanataka mwisho 18 kwa form four...

Anyway nenda kajaribu bahat yako
 
Rudi shule kwanza. Nyie ndo mnaochafua sura ya vyombo vya uslama wa Taifa letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…