Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Kwani mwanzo walipofanya wewe ulitegemea kuwa watafanya hadi sasa uone kuwa hawatarudia tena? Tuache wanasiasa wafanye siasa zao.Kula tano mkuu, ule ujinga safari hii watasubiri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwanzo walipofanya wewe ulitegemea kuwa watafanya hadi sasa uone kuwa hawatarudia tena? Tuache wanasiasa wafanye siasa zao.Kula tano mkuu, ule ujinga safari hii watasubiri sana.
Sasa alizingua nini?Mbowe alichemka sana kuingia kingi kumleta Lowassa. Alizingua sana kiukweli.
Kwani mwanzo walipofanya wewe ulitegemea kuwa watafanya hadi sasa uone kuwa hawatarudia tena? Tuache wanasiasa wafanye siasa zao.
Hiyo "sisi" unakusudia akina nani?Unaposema tuache wanasiasa wafanye siasa zao, sisi sio wanasiasa?
Hiyo "sisi" unakusudia akina nani?
NdotoHakika mwaka huu katika nafasi ya Urais, CDM imejaliwa wagombea makini sana kihistoria, hii haizuii B.K.Membe na wengineo kuja ili tuyatafute mabadiliko ya kweli kwa Tanzania yetu.
Karibuni sana!!
Baada ya muda na juhudi ndoto huwa uhalisia.Ndoto
Marufuku kurudia kosa.Makosa ya kumpa nafasi ile fisadi Lowassa 2015 hayatarudiwa tena.
Hamna ulichofanya, Sijaona Logic hapo, kama ungeteka ungebadili tittle ya thread ungeleweka.Hujui kusoma na kuelewa wewe....!!
Una tatizo la uelewa wa mantiki katika maandiko unayosoma...
Labda nikufundishe kidogo:
Kwamba, nilichofanya mimi ni kuibua swali litakalohitaji majibu/maoni tofauti tofauti kwa kadiri ya kusikia na kuelewa kwa mtu husika...
Nikaanza mimi mwenyewe kutoa maoni yangu kwa kadiri nilivyosikia na kuelewa.....
Jibu ama maoni yangu siyo lazima yawe yako kwa sababu tuna masikio ya kusikia tofauti, na vivyo hivyo akili ama ufahamu tofauti wa kuelewa na kutafsiri unachokisikia/kukiona....
Sasa nakuuliza wewe Ukana Shilungo, baada ya kusikiliza audio ta mahojiano hayo kwa UELEWA na UFAHAMU wako unaweza kutoa uchambuzi gani?
I hope nimekufungua ufahamu kidogo. Kama utaendelea kuwa mbishi tu kwa sababu ya asili ya ubishi wako, basi "kalagha bhaho!!"....
Dude punguza povu🤩🤩Hujui kusoma na kuelewa wewe....!!
Una tatizo la uelewa wa mantiki katika maandiko unayosoma...
Labda nikufundishe kidogo:
Kwamba, nilichofanya mimi ni kuibua swali litakalohitaji majibu/maoni tofauti tofauti kwa kadiri ya kusikia na kuelewa kwa mtu husika...
Nikaanza mimi mwenyewe kutoa maoni yangu kwa kadiri nilivyosikia na kuelewa.....
Jibu ama maoni yangu siyo lazima yawe yako kwa sababu tuna masikio ya kusikia tofauti, na vivyo hivyo akili ama ufahamu tofauti wa kuelewa na kutafsiri unachokisikia/kukiona....
Sasa nakuuliza wewe Ukana Shilungo, baada ya kusikiliza audio ta mahojiano hayo kwa UELEWA na UFAHAMU wako unaweza kutoa uchambuzi gani?
I hope nimekufungua ufahamu kidogo. Kama utaendelea kuwa mbishi tu kwa sababu ya asili ya ubishi wako, basi "kalagha bhaho!!"....
Dude punguza povu🤩🤩
Dude! What seems right to you, might be wrong to other!I said and I am saying it to you again....
Kwamba, kuna uwezekano wewe una asili ya ubishi tu...
Kwamba, hata rangi nyekundu ikiwa mbele ya uso wako, wewe utakataa tu kuwa siyo nyekundu bali ni nyeupe...!!
Watu kama ninyi huwa mwisho wa siku mnajifunza na kuulewa ukweli in a very hard way...
Kwa heri...
Kuliko nzi wa kijani na makinda yao(uvccm) aka mapoyoyo.Membe akisema anaenda Chadema...... Ufipa nzima italipuka kwa shangwe bwashee!
Dude! What seems right to you, might be wrong to other!
Tena ikiwezekana muwaombe msamaha wanachama wenu kwa makosa makubwa mliyofanya. Mlipoteza pa kubwa imani yenu kwa watu.Makosa ya kumpa nafasi ile fisadi Lowassa 2015 hayatarudiwa tena.
Why can't you admit your weaknesses? You have encountered error from the beginning!I absolutely agree with you...
That's why the red colour to you is not red rather is blue...
I accepted it. I respected your observation because what is right to me, is WRONG TO YOU...!!
So, thank you & good luck...