Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Ni kweli mkuu! Mwandishi tu ndiye mjinga!Kwenye mahojiano wako wawili tu Kigwangala na Jen World na hata picha inawaonyesha wao wawili tu hakuna mwanamke hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu! Mwandishi tu ndiye mjinga!Kwenye mahojiano wako wawili tu Kigwangala na Jen World na hata picha inawaonyesha wao wawili tu hakuna mwanamke hapo
Kama jiwe na PhD yake alikuwa na lugha mbovu mpaka akakacha kwenda nje ya Bara la Afrika! Wengine?Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi (2022), idadi ya Watanzania ni takribani milioni 61. Unawezaje kuhitimisha kwamba hao wote lugha yao ni mbovu ukitumia mfano huu mmoja?
Au nami nihitimishe kwamba weledi wa Watanzania kiutafiti ni duni mno?
Aidha, nimegundua kwamba una uandishi fulani mbovu kupindukia. Je, ndivyo Watanzania wote 61M walivyo?
Hauna baya mwanangu! Waandishi wa Tz ni vilaza sana!Asante Mkuu maana wameanza kunilaumu kuwa mimi ndiye kilaza sijui lugha😆
Angekuwa addressed AI "it"Pengine ana Jinsia mbili🥺🥺🥺
Bado unafanya kosa lilelile la ujumuishaji. ^Samaki mmoja akioza, wote wameoza,^ ni falsafa yenye mahali pake, na wala si pote.Kama jiwe na PhD yake alikuwa na lugha mbovu mpaka akakacha kwenda nje ya Bara la Afrika! Wengine?