Kwa wataalam wa sheria masaada unahitajika

Mtafute wakili mpe laki moja akishinda kesi yule demu atalipa compensation na remidies zote
 
Sio kitabu yani waliandika kwenye kompyuta detail zote za simu kisha jamaa akapewa efd receipt
Sasa jomba sinaende hapo dukani ili ajue kama kuna copy ya risiti au la ndioo aanze machakato wa kupata mwanasheria au dolari za kutosha.
 
Hiyo simu niya wizi Mkuu!

Mwambie jamaa yako aseme ukweli, aidha alinunua simu ya iliyoibiwa, au yeye ndiye kaiba,
Yani nashindwa kusema kwamba jamaa kaiba sababu siku anaenda kuinunua nilikuwa nae Mimi mwenyewe na alikabidhiwa Kila kitu yaani full box kitu kiipyaaaa. Naona demu kapata upenyo baada ya kusoma komenti za watu wakiuliza risiti kama anayo ili wanunue na jamaa akakomenti kwamba risiti alipoteza sasa nahisi demu anataka kupitia humohumo na inaonekana ndo michezo yake.
 

Basi Sawa Mkuu.

Mpo pole Ila hongera Kwa kututahadharisha wengine
 
Sasa jomba sinaende hapo dukani ili ajue kama kuna copy ya risiti au la ndioo aanze machakato wa kupata mwanasheria au dolari za kutosha.
Asubuhi hii ndo kasema anaenda pale dukani hata Mimi nasubiri anipe feedback.
 
Hapo kuna njia nzuuli sana, aende kwa mkuu wa kituo aeleze shida yake , kisha aombe kitengo cha mtandao cha polic kuangalia ile cm toka ilenunuliwa ilitumia line ngapi? Hapo ndio utakuwa mwisho wa picha
 
Ulaji wa police tena ana bahati police wataongeza na kosa lingine la hiyo simu ilikua kwenye pochi na kwenye pochi kulikua na hela na cheni ya dhahabu mahabusu wapo wengi sana huko wamerundikwa mwisho unaambiwa huna ndugu wenye hela wake wakutoe
 
Hapo kuna njia nzuuli sana, aende kwa mkuu wa kituo aeleze shida yake , kisha aombe kitengo cha mtandao cha polic kuangalia ile cm toka ilenunuliwa ilitumia line ngapi? Hapo ndio utakuwa mwisho wa picha
Nitamweleza aende kwa mkuu wakituo maana anasema wale polisi wengine hawakumpa hata chansi ya kuongea muda wote walikuwa upande wa demu, pia nahisi kuna afande anamega hiyo manzi.
 
Ulishaona polisi wanatishika?
Ndio maana police wanawaonea sana nyie raia... Hata mimi ukinitishia sitishiki lakini ukifanya kweli nitatishika. Hakuna OCD au RPC atakae support huo upumbav waliofanya
 
hamna njama wala kuna tatizo hapo huyo demu sio chzi kaa muangalie inawezekana demu kaibiwa simu kama hyo aliiona mtandaoni inapigwa bei

mkikosa risit ajiandae na jela ana kesi ya kuiba kwa kunyang'anya atajuta kuzaliwa miaka ya kutosha
 
...kama ni Duka kubwa la Simu hio Risiti lazima ipo, Hata kama imeishapelekwa Store huko, lakini Lazima ipo !
 
Vijana muwe makini na utunzaji wa documents muhimu.
Unapotezaje risiti na boksi la simu?
 
hamna njama wala kuna tatizo hapo huyo demu sio chzi kaa muangalie inawezekana demu kaibiwa simu kama hyo aliiona mtandaoni inapigwa bei

mkikosa risit ajiandae na jela ana kesi ya kuiba kwa kunyang'anya atajuta kuzaliwa miaka ya kutosha
Mimi sasa nasema huyu demu ni chizi sababu jamaa anasema demu aliulizwa toka ameibiwa simu ni muda gani umepita demu akasema ni wiki mbili zimepita, na wakati hii simu tulienda kuinunua na jamaa mwezi wa pili tarehe za mwanzoni sasa hapo huoni kwamba huyu demu akili zimeyumba!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…