demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Hodi humu ndani jamani.!
Anguko la bei ya Mafita Duniani linategemewa kuendelea kuporomoka hata ndani ya mwaka 2015.
Kutokana na anguko/poromoko la bei ya Mafuta Duniani.. Inasemekana kwamba hili tukio litapelekea kukua na kustawi vizuri kwa uchumi wa mataifa-yaendeleayo, tena hasa Afrika Mashariki.
Naomba tusaidiane katika kujuzana katika hili suala.. ni kivipi uchumi wa mataifa madogo utapata nafasi ya kukua vizuri?
Anguko la bei ya Mafita Duniani linategemewa kuendelea kuporomoka hata ndani ya mwaka 2015.
Kutokana na anguko/poromoko la bei ya Mafuta Duniani.. Inasemekana kwamba hili tukio litapelekea kukua na kustawi vizuri kwa uchumi wa mataifa-yaendeleayo, tena hasa Afrika Mashariki.
Naomba tusaidiane katika kujuzana katika hili suala.. ni kivipi uchumi wa mataifa madogo utapata nafasi ya kukua vizuri?