Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Hizi zilikuwa ni imani tu na kukosa elimu yale yanayoitwa meno ya plastic ni meno ya utotoni ambayo huja kung'oka baadae, binafsi sijawahi kukutana nayo
 
Hatujui chochote kuhusu yeye kwakuwa hata hivyo hakuwahi kuwa kwenye mahusiano yoyote
Bible inasema kuwa Mungu anatuwazia na yeye ni mwema

Hivyo kama kibamia sio jambo jema basi Bible ingekataa tohara siku ya nane mtoto kuzaliwa!

Anyway ni mtazamo wangu tu!

Turudi kwny mada!

Nimeipenda sio siri kuhusu watoto
Nimejifunza mengi mno
Ahsante
 
dah!!!!! huu uzi nimekazana kuufungua tangu siku nying hatmae nimeweza!!!!!! asante kwa idea yako mkuu!!,.
 
Ndo maana binafsi mzazi anaempeleka boarding mtoto mdogo eti sababu hana muda wa kulea ama kwa kuamini huko ndo kuna malezi bora mzazi huyu ni mjinga mbumbumbu limbukeni na mshamba wa kichwa,na hafai kuitwa mzazi bali foroma ya kufyatulia watoto,samahani kwa nlowakwaza kwa kusema haya,mkitaka fafanuzi niulizeni nipo tayari kutetea nsemalo
 
Yesu alitahiriwa siku ya nane!
Nae ana kibamia?

Hizi huwa ni imani tu!
Bro wianisha jina lako na huyo unaetoa maneno na mfano wa kutusi,YESU ni kitu kingine kabisa haukupaswa kusema hivo maana unaeza chuma maana kubwa sababu tu ya mashindano ya kijinga ya humu jf,Fanya utubu mkuu,take it or leave it,
Ila MUNGU akusamehe sana hujui ukuu wa YESU
 
Nami nikiskia tu miaka hio ya nyuma ila hata sijawahi kukutana na case kama hii live.

Pengine ni hizi milk teeth, wakiita hivyo. Au pengine yapo kweli lkn ndo wanayaondoa kwa njia za kienyeji kama alivosema Evelyn.
 
Msaada wenu wana jamii.
Mwanangu wa miezi mitatu ana kitu kama mafua lakini hayatoki na anahema kwa shida sana. Tulienda hospitali walisema ni mafua tukapewa dawa ya mafua, ametumia lakini hakuna mabadiliko na zimebadilishwa nne bila nafuu yoyote na kwanza ndio yanazidi. msaada wenu jamani
 
Tulienda hospital nyingine iliyopo eneo la Kwamndolwa, wilayani Korogwe Tanga. Baada ya Dr kumuangalia mtoto akabaini ameota vinyama puani ndivyo vinavyompa shida ya kuhema, na tumeambiwa twende jumatatu kwa ajili ya kupata barua ya rufaa kwenda Muhimbili. Hata sasa bado mtoto anapata tabu sana kuhema licha ya kupewa dawa mbadala ya kufungua poa kama kuchemsha maji ya vuguvugu kuweka chumvi kidogo alafu tunamuweka puani.
Mtoto ana umri wa miezi mitatu, naomba msaada kwa wote wanajua. Je, mtoto wa miezi mitatu anaweza kufanyiwa surgery? Je kuna dawa ya kuweza kuvikausha? Je kuna dawa za asili zenye kuweza kutibu? Msaada wenu ndugu zangu.
 
Nadhani inawezekana kabisa kwakuwa kuna baadhi ya upasuaji hufanyika chini ya umri huo
 
Mada nzuri sana.....ngoja nisome kwanza posts zote kisha na mimi nichangie au kuuliza maswali. Isijekuwa maswali yangu yameshajibiwa
 
Asante fatimata nimeongeza kitu hapa
 
Mada nzuri sana.....ngoja nisome kwanza posts zote kisha na mimi nichangie au kuuliza maswali. Isijekuwa maswali yangu yameshajibiwa
Mada ni nzuri sana kwa kweli na mimi imenielimisha vizuri ingawa sijamaliza kusoma post zote
 
Kuna vikohozi vikavu visivyokoma hapa dawa yake ni Kijiko kidogo cha asali na kama una maziwa fresh unaweza kumchanganyia humo...hii haina madhara kabisa na kama ni mdogo zaidi humpi kwenye Kijiko bali unamlambisha
sorry mkuu unampa huo mchanganyiko kwa muda gani ..namaanisha mara ngapi ili dozi ikamilike
 
sorry mkuu unampa huo mchanganyiko kwa muda gani ..namaanisha mara ngapi ili dozi ikamilike
Hizi ni remedies kwahiyo hazina muda maalum lakini huyo angefanya kwa siku saba kwanza
 
mimi mke wangu amejifungua lakini maziwa hayatoki kabisa akinyonyesha labda mwezi mmoja tu baada ya hapo mtoto hashibi inabid aanzishiwe maziwa mbadala, je tatizo liko wapi na ufumbuzi wake ni upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…