Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Do not worry about your child’s sweating as it is quite common in young children and is usually a direct result of the environmental conditions.Habari wakuu... Mwanangu ana miezi 6 anasweat saaana, hata kama mvua inanyesha akila au akinywa anasweat mpaka naogopa. Je anaweza kuwa na tatizo?
Hii ni product ya forever living au inapatikana kwenye maduka ya madawa?Nina mtoto wa miezi miwili na nusu,nataka nikianza kazi niwe nakamua maziwa ya kunywa nikiwa sipo.Na mimi sina maziwa mengi.Hii inaweza kunisaidia.
Huyo mtoto hashibi ndio maana halali mpe msosi wa maana uone kama hatalalaMwanangu ana miezi mitano mchana halali na kama akilala dakika tano kaamka nifanyaje awe analala
Bado nampa maziwa na hospital wameniamba mzito sana anatakiwa kupunguaHuyo mtoto hashibi ndio maana halali mpe msosi wa maana uone kama hatalala
Kilo ngapiBado nampa maziwa na hospital wameniamba mzito sana anatakiwa kupungua
9.5Kilo ngapi
Ni nyingi kwa kweli. Ila sijui hata nikwambiaje I remember my son akiwa na umri before 6 months alikuwa hataki kulala na anakomaa kwelikweli nikaamua kumpa uji wa kuchuja after that akawa analala vzr tu. My be factor ya c section
SawaNi nyingi kwa kweli. Ila sijui hata nikwambiaje I remember my son akiwa na umri before 6 months alikuwa hataki kulala na anakomaa kwelikweli nikaamua kumpa uji wa kuchuja after that akawa analala vzr tu. My be factor ya c section
Very sure mkuu, uko very intelligent na mwenye kujali, tuelimishe kuhusu hayo km una ufaham nayoWengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki.
Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii maalum ya watoto.
Kumlea mtoto tangu kutungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa na hatimaye kulelewa mpaka kuvuka kile kipindi cha hatari si jambo dogo.
Changamoto ni nyingi hasa na zingine hatujui jinsi ya kuzitatua lakini tukiwa na hii mada hapa jukwaani tutashirikishana na kujuzana mengi kwa haraka na uhakika zaidi.
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji daktari au ufumbuzi wake ni kama huduma ya kwanza kabla hujapata usaidizi mwingine. HII NI TOFAUTI NA JF DOCTOR.
Kwa mfano, ufanyeje;
-Mtoto anapolialia
-Mtoto anapopata gesi tumboni
-Mtoto anapopaliwa kila akila chochote
-Mtoto anaposhtuka shtuka usiku na kulia sana nk k
Hatari zimnyemeleazo mtoto;
-Umeme
-Maji
-Moto
-Mwanga wa Tv
-Simu, mawimbi yake
-Vyombo na vitu mbalimbali
-Madawa na vipodozi nk nk
Hii ni mada pana yenye mambo mengi mno.
Kwa mfano kitunguu saumu ni tiba kwa mtoto anayelia na kushtuka usiku, Kijiko cha asali ni tiba kwa mtoto anayekohoa mfululizo (ukiacha kifua na mafua), Vitu kama mahirizi ya kiunoni na mkononi havimsaidii mtoto, Muda mwingi kumvalisha mtoto nguo nyingi humsababishia nimonia n.k.
Mambo ni mengi...
IKIWAPENDEZA ITAKUWA NI MADA MAALUMU YA WATOTO..
Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha..!
me sijui labda joto wangu nalazimika kumvisha nguo za joto usiku sababu ukimfunika kama kanasumbuaHivi kwanini watoto huwa hawapendi kufunikwa wakilala teh sio tatizo ila nataka kujua
Sio joto tu hata kukiwa na baridi, atarusha rusha miguu hadi atoe shuka ndio alale, mara nyingi sana huwa naona kwa watotome sijui labda joto wangu nalazimika kumvisha nguo za joto usiku sababu ukimfunika kama kanasumbua
Me najua watoto wengi wakitaka kulala kama wanabishana na usingizi wanataka kucheza tuSio joto tu hata kukiwa na baridi, atarusha rusha miguu hadi atoe shuka ndio alale, mara nyingi sana huwa naona kwa watoto
Dah mwanangu anapenda sana kukodolea kideo sasa mkuu umeonyesha mwanga wa tv kama hatari mojawapo zimnyemeleazo mtoto kwa hiyo inabidi kuwazuia kuangalia vikatuni?Mwanga wa Tv
Nadhan kuna minimum distance ambayo anatakiwa kukaa. Usimruhusu aisogelee tv. Mruhusu akae atleast 3m kutoka kwenye tv.Dah mwanangu anapenda sana kukodolea kideo sasa mkuu umeonyesha mwanga wa tv kama hatari mojawapo zimnyemeleazo mtoto kwa hiyo inabidi kuwazuia kuangalia vikatuni?
mwanangu ana miezi mitano na wiki mbili na nusu anakojoa mkojo wa njano sana tatizo ni nini?
niasidie aina ya vyakula mamy... maji najitahidi kumpa au nimpe na juisi?Humpi maji ya kutosha, pia angalia vyakula unavyompatia.