Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Je mtoto humchukua miezi mingap kuanza kuota meno?

Je mtoto anatakiwa aongezekea kg kwa mwezi?

Je mtoto anapolalala muda mfupi na kustuka ana tatizo?

Je mtoto anatakiwa kuanza kupewa uji baada ya miezi mingapi?

Kweli kulea ni kazi ila kuna raha yake sometimes

Grow up my babygirl, Mungu anilindie hii roho yangu

cc mshana
 
Habari wakuu... Mwanangu ana miezi 6 anasweat saaana, hata kama mvua inanyesha akila au akinywa anasweat mpaka naogopa. Je anaweza kuwa na tatizo?
Do not worry about your child’s sweating as it is quite common in young children and is usually a direct result of the environmental conditions.
 
Ni nyingi kwa kweli. Ila sijui hata nikwambiaje I remember my son akiwa na umri before 6 months alikuwa hataki kulala na anakomaa kwelikweli nikaamua kumpa uji wa kuchuja after that akawa analala vzr tu. My be factor ya c section
Sawa
 
Mtoto wangu ana miaka 2 ana kilo 12 haongezeki uzito kwa zaidi ya miezi 5 nimejaribu kubadilisha aina tofauti ya vyakula lakini haongezeki naomba kujua kama ni tatizo
 
Hivi kwanini watoto huwa hawapendi kufunikwa wakilala teh sio tatizo ila nataka kujua
 
Very sure mkuu, uko very intelligent na mwenye kujali, tuelimishe kuhusu hayo km una ufaham nayo
 
me sijui labda joto wangu nalazimika kumvisha nguo za joto usiku sababu ukimfunika kama kanasumbua
Sio joto tu hata kukiwa na baridi, atarusha rusha miguu hadi atoe shuka ndio alale, mara nyingi sana huwa naona kwa watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…