Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

KKweli
 
Kwa kawaida hua unafunga miezi 18 mpaka miaka miwili,
Nashauri akamwone dactari kwa evaluation zaidii
 
Bado unasumbuka na mtoto asieongezeka uzito karibu Lily lishe kiboko watoto wasioongezeka uzito unga wetu ni msafi umezingatia uwiano wa nafaka usisumbuke kukabana na mtoto Karibu uone tofauti tupo magomeni Dar mikoani tunatuma uwaminifu mkubwa kg tsh 5000..0789319941
 
Huku Tanga Kuna kitu kinaitwa Zongo, mtoto anapigwa yeye ni kulia tu na kuharisha, na tumbo kuuma, unaweza kumpa kila aina ya dawa lakini wapi, ila ukienda kwa hao wataalam wenyewe wa kutegua mabomu, unakuta mtoto anapona kwa Tsh 5000 tu, mimi nilikua mbishi ila mwisho wa siku nuliamsha mkono, unakuta mtoto anadhoofika mpaka unamuonea huruma,
 
Halafu ukimpima hospital hana tatizo lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…