Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana nawe aliyechukua video hii si mzazi bali yaweza kuwa beki3 au ndugu...ila kama kweli ni mzazi basi kazi ipoKama mzazi inasikitisha na kuumiza pia hope alie chukua video hii ni binti Wa kazi mzazi kama mzazi awezi fanya kitu kama ichi kinacho umiza uyu mtoto ni Mdogo mno sizani ata mwaka na nusu kama kafikisha
Usinitafutie ban we, una uspesho gani labda hadi uniite mi ovyoHa ha ha ha ha ha ha kwahiyo wali maharage ni matusi, unayajua matusi wewe?
Unataka uelezwe kwa staha we mbona hujaongea kwa staha ovyo
Halafu nikitoswa baharini mtoto wangu utamlea wewe!!!!!! natamani nikupige bonge la kofUmri wako wa kuitwa Baba ulikua haujafika,unastahili kufungiwa jiwe kubwa shingoni na kutoswa baharini.
Narudia tena oyooooo kwaheriUsinitafutie ban we, una uspesho gani labda hadi uniite mi ovyo
Watch out
Asante mkuu, wacha nimdharau tuJitahidi kuwa mvumilivu hekima ikutawale
Hapana anatafuta ukaribu na joto la mzazi...kumbuka soi hili joto la kawaida. ..anajisikia salama zaidi pembeni ya ubavu wako...it's too naturalHivi na mtoto kulala vibaya inakuaga ni kurithi au anaona nafasi kubwa anaamua kujiachia,maana wangu namlaza katikati ya kitanda ila atajivutaaaaa hadi anakuja ubavuni na usipokua makini unaweza kumpiga kipepsi maana anajikunja kwa chini mbavuni kwangu
Ndo hadi kupandishiana miguu,mbona nnalo...asante [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana anatafuta ukaribu na joto la mzazi...kumbuka soi hili joto la kawaida. ..anajisikia salama zaidi pembeni ya ubavu wako...it's too natural
Wanatofautiana eeh, mie wangu hapendi habari za kukumbatiwa wala kusogelewa, ukimsogelea nae anahama tehHapana anatafuta ukaribu na joto la mzazi...kumbuka soi hili joto la kawaida. ..anajisikia salama zaidi pembeni ya ubavu wako...it's too natural
I wish nae akiwa anakuakua awe hivo,yaani kuna muda hadi namwekea mito na kitambaa nachomfutia maziwa usiku ili apate kiharufu changu halafu nahama ila wapiiii,atashtukia tu kimchezo [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wanatofautiana eeh, mie wangu hapendi habari za kukumbatiwa wala kusogelewa, ukimsogelea nae anahama teh
Hizo kashkash ndo siziwezagi kabisaaa,nitafute tu namna alale mwenyewe [emoji119] [emoji119] [emoji119]Kuna wakati atapanda hadi kifuani hasa kama hajisikii vizuri
Ha ha ha bora huyo anaekufata, kuna muda usiku kunakuwa na baridi natamani nimsogelee apate joto, yani nikimsogelea anahama nikimfata anaamka anakaa anatambaa hadi kwenye kona ya kitanda ha ha ha nabaki kucheka tuI wish nae akiwa anakuakua awe hivo,yaani kuna muda hadi namwekea mito na kitambaa nachomfutia maziwa usiku ili apate kiharufu changu halafu nahama ila wapiiii,atashtukia tu kimchezo [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hahaha huyo wako mwisho khaaaa hadi anakukimbia [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ha ha ha bora huyo anaekufata, kuna muda usiku kunakuwa na baridi natamani nimsogelee apate joto, yani nikimsogelea anahama nikimfata anaamka anakaa anatambaa hadi kwenye kona ya kitanda ha ha ha nabaki kucheka tu