solidgirl
Member
- Aug 9, 2014
- 33
- 18
Mbali ya kuwa watt hawapendi kujifunika na kesi ya joto pia ila binafsi yangu sipendi kumfunika mtt kwa kesi ya usalama wanapenda kuvutavuta nguo ili atafute mwishoni zimfunike asiweze kupumua mmmmmmh nawazaga sana bora nimvalishe mikanyela mumo ya kulalia full jotoHivi kwanini watoto huwa hawapendi kufunikwa wakilala teh sio tatizo ila nataka kujua