miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
haya nitafanya hivyo kwa hiyo akiingia miezi sita nachuja unga au napika kama ulivyo?It's early, tumbo linapaswa kuzoea mdogo mdogo introduce one food at a time itasaidia kuscreen out hata vinavyoweza kumdhuru, allergies etc