Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kijana wangu anamwezi ila tumbo linamsumbua tatizo Itakuwa niniHapana kijiti hakina mahusiano kabisa na kusafishwa
Linaunguruma then analia, na jaribu kutafuta solution kabla ya hospitalUmri gani? Linamuuma ama.? Au linajaa gesi? Hospital umejaribu kwenda?
OK nitafanyia kazi mkuu shkranJaribu kumpaka kitunguu saumu tumboni ulichochanganya na olive na kumkanda taratibu mara tatu kwa siku
Asante sana kwa ushaur, maana kuna watu walikua wanamwambia kwa sababu haendi mwezin zile damu zinazotakiwa kutoka kila mwez zinaganda sehem badala ya kutoka nje, so siku akitoa kijiti lazima asafishwe, na alikua anaogopa kweliHapana kijiti hakina mahusiano kabisa na kusafishwa
Mmh Mmh hii ni mpya kwangu zinagandiana wapi? Hakuna kitu kama hichoAsante sana kwa ushaur,,maana kuna watu walikua wanamwambia kwa sababu haendi mwezin zile damu zinazotakiwa kutoka kila mwez zinaganda sehem badala ya kutoka nje,,so siku akitoa kijiti lazima asafishwe,, na alikua anaogopa kweli
Name pia nialike father.Kuna mada yake ngoja nikualike
Kuna mada yake ngoja nikualike
Za majukumu mkuu,Nami naomba unialike AsanteKuna mada yake ngoja nikualike
Usijali tupo pamojaPouwa sorry for late reply