Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mpo Salama!
1. Waalimu kulipwa mishahara Duni
Unapopeleka mtoto English Medium au shule yoyote Jambo la Kwanza Kabisa lazima uulize mishahara ya waalimu. Wanalipwaje?
Mshahara wa Mwalimu ni kiashiria namba Moja kuonyesha mtoto wako atapata Elimu Bora. Matokeo ya mitihani huweza kupokwa.
Mtu Anayelipwa vizuri huwa na moyo wa kutoa kilichobora.
English Medium wengi mishahara yao inawanyonya waalimu.
Mwalimu analipwa Laki mbili, Laki tatu. Hivi huo mshahara unategemea mtoto wako ajue kingereza au apewe Elimu ya kueleweka?
Halafu wakati huo wewe umetoa Ada kubwa lengo ni mtoto wako apewe Elimu nzuri
Lazima ufuatilie waalimu wanalipwa pesa Zao kwa wakati, lazima ufuatilie wanapewa kiasi gani ili ujue watajituma kwa kiwango gani.
Lakini utakuwa mpumbavu na mjinga ambaye unatoa pesa lakini hujui Yule anayemfundisha mtoto wako atakuwa analipwa kiasi gani.
Ni muhimu wakati wa unamuandikisha mtoto uulize uongozi wa Shule mishahara ya waalimu na uwaambia unaruhusiwa kuwauliza waalimu kuhusu malipo Yao.
Kwa sababu wewe ndiye boss WA wote, mwenye shule na waalimu na wafanyakazi.
2. Umahiri wa Waalimu wa kumfundisha mtoto wako
Waambie shule kuwa unaomba nakala za Profile la waalimu watakaoenda kumfundisha mtoto wako.
Je wako qualified.
Kazi hiyo usiiachie serikali pekee. Serikali haitoi Ada ya Mwanao🤓🤓.
Ni jukumu Lako kujua wasifu WA waalimu wanaomfundisha mtoto wako sio kwa mdomo Bali wakupe nakala za Profile Zao.
Lazima ujue waalimu wapo wangapi
Waalimu wengi wa hizi English Medium hawana quality ya kueleweka.
3. CHAKULA
Shule ya serikali huwezi ulizia suala la chakula Kwa sababu labda serikali itakulipia. Si unajua chakula cha kupewa huwezi ulizauliza.
Pesa ya chakula unayotoa English Medium inaendana na chakula anachokula mtoto Akiwa shule.
Usilete akili za kitumwa kuwa mtoto hajaenda Kula shule ilhali umetoa pesa yako.
Ni lazima ulinganisha pesa yako na kile unachopewa.
4. Hutakiwi kumsaidia mtoto Homeworks anazopewa shule
Ndio maana ulitoa Pesa.
Ni jukumu la shule kumfundisha mtoto wako aelewe kile ambacho wamemfundisha. Homeworks ilenge kujenga kumbukumbu na bangua bongo ya mtoto.
Sasa hizi English Medium wanakuandika maswali Mia moja ya Likizo alafu ukimwambia mtoto afanye hafanyi hata robo ya maswali.
Mengi ya maswali Mpaka umsaidie. Huo ni Utapeli.
Sasa mtoto anakuwaje wakwanza, au anapataje Wastani wa A Alafu Homeworks za Likizo alizopewa maswali Mia hawezi kufanya hata robo ya maswali. Huo ni Uhuni
Karibuni
1. Waalimu kulipwa mishahara Duni
Unapopeleka mtoto English Medium au shule yoyote Jambo la Kwanza Kabisa lazima uulize mishahara ya waalimu. Wanalipwaje?
Mshahara wa Mwalimu ni kiashiria namba Moja kuonyesha mtoto wako atapata Elimu Bora. Matokeo ya mitihani huweza kupokwa.
Mtu Anayelipwa vizuri huwa na moyo wa kutoa kilichobora.
English Medium wengi mishahara yao inawanyonya waalimu.
Mwalimu analipwa Laki mbili, Laki tatu. Hivi huo mshahara unategemea mtoto wako ajue kingereza au apewe Elimu ya kueleweka?
Halafu wakati huo wewe umetoa Ada kubwa lengo ni mtoto wako apewe Elimu nzuri
Lazima ufuatilie waalimu wanalipwa pesa Zao kwa wakati, lazima ufuatilie wanapewa kiasi gani ili ujue watajituma kwa kiwango gani.
Lakini utakuwa mpumbavu na mjinga ambaye unatoa pesa lakini hujui Yule anayemfundisha mtoto wako atakuwa analipwa kiasi gani.
Ni muhimu wakati wa unamuandikisha mtoto uulize uongozi wa Shule mishahara ya waalimu na uwaambia unaruhusiwa kuwauliza waalimu kuhusu malipo Yao.
Kwa sababu wewe ndiye boss WA wote, mwenye shule na waalimu na wafanyakazi.
2. Umahiri wa Waalimu wa kumfundisha mtoto wako
Waambie shule kuwa unaomba nakala za Profile la waalimu watakaoenda kumfundisha mtoto wako.
Je wako qualified.
Kazi hiyo usiiachie serikali pekee. Serikali haitoi Ada ya Mwanao🤓🤓.
Ni jukumu Lako kujua wasifu WA waalimu wanaomfundisha mtoto wako sio kwa mdomo Bali wakupe nakala za Profile Zao.
Lazima ujue waalimu wapo wangapi
Waalimu wengi wa hizi English Medium hawana quality ya kueleweka.
3. CHAKULA
Shule ya serikali huwezi ulizia suala la chakula Kwa sababu labda serikali itakulipia. Si unajua chakula cha kupewa huwezi ulizauliza.
Pesa ya chakula unayotoa English Medium inaendana na chakula anachokula mtoto Akiwa shule.
Usilete akili za kitumwa kuwa mtoto hajaenda Kula shule ilhali umetoa pesa yako.
Ni lazima ulinganisha pesa yako na kile unachopewa.
4. Hutakiwi kumsaidia mtoto Homeworks anazopewa shule
Ndio maana ulitoa Pesa.
Ni jukumu la shule kumfundisha mtoto wako aelewe kile ambacho wamemfundisha. Homeworks ilenge kujenga kumbukumbu na bangua bongo ya mtoto.
Sasa hizi English Medium wanakuandika maswali Mia moja ya Likizo alafu ukimwambia mtoto afanye hafanyi hata robo ya maswali.
Mengi ya maswali Mpaka umsaidie. Huo ni Utapeli.
Sasa mtoto anakuwaje wakwanza, au anapataje Wastani wa A Alafu Homeworks za Likizo alizopewa maswali Mia hawezi kufanya hata robo ya maswali. Huo ni Uhuni
Karibuni