Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Bora hizo zina kiwango....sio hizo nyingine darasa moja watoto 300mimi wanasoma kayumba ya kiingereza inayomilikiwa na serikali
mlimani primary school. ada haina stress na walimu wanalipwa mishahara mikubwa kuliko wa tusiime