Kwa Wazazi: Utapeli wa English Medium upo katika maeneo yafuatayo

Mimi English medium nilimpeleka mtoto ili awe salama tu kwa sababu care kuleipo afadhali na walimu wanawajibika Kama atapata tatizo. Lakini kwa upande wa elimu ni uongo. Mwaka huu nampelekakayumba then hela niliyokuwa nalipa kule nitakuwa namnunulia assets Kama mashamba. Maana naona watoto wa kiarabu hawasomi lakin ndo wanamiliki uchumi. Elimu yetu Haina msaada kwa future ya watoto
 

english medium za watu binafsi za mtaala wa necta ni magumashi hata wakikulipisha ada kubwa
 
Ila Walimu wananyonywa sio Serikalini au Binafsi
 
Kwa mzazi anaempeleka mtoto kusoma kwenye shule kama hiyo ndiye anaepaswa kushauriwa kumrudisha tu mwanae kwenye shule ya Kayumba.
 
Hela natafuta lakini siwezi kupigwa kifala kwenye shule za EM..

Siwezi kutoa hela yangu kumpa Bwana Mugetta mmiliki wa Muggeta Nursery and Primary School
The vice versa is true.

Watafika hadi chuo
 
Mimi nianze kufuatilia profile ya mwl, unisaidie nini, mshahara wa mwalimu mm unisaidie ? Nisipopewa ushirikiano maana yake nisipopewa ushirikiano nimfundishe mimi mtoto wangu?

Mamlaka za elimu zinafanya kazi gani zisikague hayo yote, haya mwl analipwa laki mbili, kwa hiyo Mimi nikamuongezee,?
Poor
 
3. Hapo namba 3 kwenye chakula siku ya kuku huwa wanalishwa kuku broiler. Kuki broiler ni kansa promax
Hio cancer inakuja baada ya muda gani? Maanake nina miaka zaidi ya 40 nakula broiler.
 
Hapa wanaongelewa wanaolazimisha kusomesha EM hawa obviously wako kwemye shule za ada chini ya 3m kwa mwaka.
 
Hujaelewa hoja ya mtoa mada
 
Muongo wewe kwanza broiler zenyewe zimeanza miaka ya elfu2
Pole sana. Broiler zipo miaka mingi sana. Wewe ndio umeanza kupata akili miaka 2000 unaona kila kitu kimeanza miaka ya 2000. Unaijua interchick ilianza kufanya kazi lini hapa Tz? Biashara yao kubwa unaijua?
 
Pole sana. Broiler zipo miaka mingi sana. Wewe ndio umeanza kupata akili miaka 2000 unaona kila kitu kimeanza miaka ya 2000. Unaijua interchick ilianza kufanya kazi lini hapa Tz? Biashara yao kubwa unaijua?
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

Hazikuwa mtaani kivile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…