Kwa Wazazi: Utapeli wa English Medium upo katika maeneo yafuatayo

mimi wanasoma kayumba ya kiingereza inayomilikiwa na serikali

mlimani primary school. ada haina stress na walimu wanalipwa mishahara mikubwa kuliko wa tusiime
Bora hizo zina kiwango....sio hizo nyingine darasa moja watoto 300
 

Shule za Kayumba kama haina wanafunzi wengi Peleka huko.
Mfundishe mtoto wako mwenyewe kingereza hasa Akiwa mchanga Mpaka miaka mitano
 
Shule za Kayumba kama haina wanafunzi wengi Peleka huko.
Mfundishe mtoto wako mwenyewe kingereza hasa Akiwa mchanga Mpaka miaka mitano
Conditions ulizotoa ndiyo zinafanya watu wapeleke watoto hizi shule kibabaishji za english medium
1. Kama kayumba haina wanafunzi wengi - Hii ni ngumu kwa sababu ni chache sana zenye wanafunzi wachache na mbaya zaidi chances za kuishi karibu na moja ni finyu na pia waalim wanaweza kuwa siyo wazuri.
2. Siyo wazazi wote wenye uwezo wa kufundisha watoto english na pia muda unaweza kuwa tatizo.
Kwa kifupi tunarudi kule kule. CCM ni mashetani
 
Kwa sababu kwenye video hii wachokonozi wamezichana Kwa fact shule za English Medium pamoja na wazazi hohehahe WA kitanzania wanao somesha watoto wao shule zao.
 

Attachments

  • Screenshot_20250118-183834.png
    761 KB · Views: 3
Wewe na mie hatuna tofauti, tunafanana mpaka mtazamo aisee! Kumbe duniani wawili wawili siyo kufanana mwonekano pekee kumbe mpaka mikakati na mtazamo doh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…