MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wasalaam,
Kama una akili chakata hili.
Hatuitaji wawakilishi, watu wanaokua fatly paid, wanaenda kulala bungeni. Mawazo ya wananchi yanaweza kupatikana online, kwenye platform official itakayo ruhusu michakato na deliberations ya issues za kitaifa na kimataifa.
Gone are the days where mwakilishi ana elimu ya darasa la saba. Twende ki-digitally
Aliyelala usimwamshe.
Kama una akili chakata hili.
Hatuitaji wawakilishi, watu wanaokua fatly paid, wanaenda kulala bungeni. Mawazo ya wananchi yanaweza kupatikana online, kwenye platform official itakayo ruhusu michakato na deliberations ya issues za kitaifa na kimataifa.
Gone are the days where mwakilishi ana elimu ya darasa la saba. Twende ki-digitally
Aliyelala usimwamshe.