Kwa wenye historia ya kutongozwa na mwanamke tuambie hapa

Kwa wenye historia ya kutongozwa na mwanamke tuambie hapa

School fiz

Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
42
Reaction score
36
Mm n mmoja wapo...nilitongozwa na mwanamke..sikuweza kukataa ..nkapiga show then nikaendelea na utaratibu wangu..tupe ushuhuda wako kama mwanaume akitongozwa na mwanamke anaweza kataa
 
Ni kawaida mwanamke kutongoza
Either akuambie au akutumie love signs nyingi kwenye kutuma txts
Binafsi mwanamke akionesha hisia kwang kabla hajanikaa moyon moyo wng unaanza kumrepel na ata kufanya mapenz tu then nimpotee siwez fanya hvyo
Only because najijua sijatulia na staki kumuumiza mtu

Mtu akikupenda muheshim sana ata kama huna mpango wa kudate nae
 
Nakumbuka mala ya keanza kutongozwa na mwanamke ilikua form four Dem nilikua class moja na yeye sema mi nilikua si mtu wa story na wanawake Sana


Wapili: ilikua chuo mdada kwangu kanizidi Kama miaka sita alikua mwajiliwa pia naye nilikua naye class moja

Wa tatu alikua mke wa mtu kanizidi Sana uyu naye nilikutana naye bar tu kwenye moja baridi moja Moto na uyu najitaidi kumpotezea till now, Jana kanitumia text kanimiss ila nimemkazia ( mkitaka screenshot za conservation nawatumia humu) niliua namjibu shot shot.


.
 
labda ungejazia nyama kweye kutongozwa hapo alikuanzaje anjaze isijekuwa wewe ndo uliyeanza kujipitishapitisha
Kuna demu mmoja those days aliniambia " oyaa leo jioni saa moja naomba uje kwangu, usikose unaskia?...nikamuona yuko so serious so nikamuuliza kuna issue gani? Bila kunikawiza akaniambia "nataka uje unikaze leo ".... Sitomsahau yule dada.
 
Kuna demu mmoja those days aliniambia " oyaa leo jioni saa moja naomba uje kwangu, usikose unaskia?...nikamuona yuko so serious so nikamuuliza kuna issue gani? Bila kunikawiza akaniambia "nataka uje unikaze leo ".... Sitomsahau yule dada.
Ulimkaza ?
 
Ndiyo but not that day.... Alinistua sana na akajua nimestuka ndo kwanza anazidi kuniambia unashangaa nini ww? acha ushamba hapaaa....
Hahaha hakua amelewa ? Au ni wale ma tomboy ?
 
Kuna demu mmoja those days aliniambia " oyaa leo jioni saa moja naomba uje kwangu, usikose unaskia?...nikamuona yuko so serious so nikamuuliza kuna issue gani? Bila kunikawiza akaniambia "nataka uje unikaze leo ".... Sitomsahau yule dada.
Kivipi usimsahau sasa mbona hayo maneno ni ya kawaida kabisa kuambiwa
 
Back
Top Bottom