School fiz
Member
- Mar 24, 2018
- 42
- 36
Mm n mmoja wapo...nilitongozwa na mwanamke..sikuweza kukataa ..nkapiga show then nikaendelea na utaratibu wangu..tupe ushuhuda wako kama mwanaume akitongozwa na mwanamke anaweza kataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda ungejazia nyama kweye kutongozwa hapo alikuanzaje anjaze isijekuwa wewe ndo uliyeanza kujipitishapitishaMm n mmoja wapo...nilitongozwa na mwanamke..sikuweza kukataa ..nkapiga show then nikaendelea na utaratibu wangu..tupe ushuhuda wako kama mwanaume akitongozwa na mwanamke anaweza kataa
Kuna demu mmoja those days aliniambia " oyaa leo jioni saa moja naomba uje kwangu, usikose unaskia?...nikamuona yuko so serious so nikamuuliza kuna issue gani? Bila kunikawiza akaniambia "nataka uje unikaze leo ".... Sitomsahau yule dada.labda ungejazia nyama kweye kutongozwa hapo alikuanzaje anjaze isijekuwa wewe ndo uliyeanza kujipitishapitisha
Ulimkaza ?Kuna demu mmoja those days aliniambia " oyaa leo jioni saa moja naomba uje kwangu, usikose unaskia?...nikamuona yuko so serious so nikamuuliza kuna issue gani? Bila kunikawiza akaniambia "nataka uje unikaze leo ".... Sitomsahau yule dada.
Ndiyo but not that day.... Alinistua sana na akajua nimestuka ndo kwanza anazidi kuniambia unashangaa nini ww? acha ushamba hapaaa....Ulimkaza ?
Hahaha hakua amelewa ? Au ni wale ma tomboy ?Ndiyo but not that day.... Alinistua sana na akajua nimestuka ndo kwanza anazidi kuniambia unashangaa nini ww? acha ushamba hapaaa....
Kivipi usimsahau sasa mbona hayo maneno ni ya kawaida kabisa kuambiwaKuna demu mmoja those days aliniambia " oyaa leo jioni saa moja naomba uje kwangu, usikose unaskia?...nikamuona yuko so serious so nikamuuliza kuna issue gani? Bila kunikawiza akaniambia "nataka uje unikaze leo ".... Sitomsahau yule dada.
No yuko Safi kabisa, nilimkuta shambani kwake anakagua (alikuwa na shamba kubwa la Maharage na mahindi) nami tuko na dereva tunaenda field.... Akatusimamisha, nikamueleza dereva maana aliniona nimeduwaa haa yeye naye akaniambia dogo kapige ngoma hiyoooHahaha hakua amelewa ? Au ni wale ma tomboy ?
It was my first time aisee....Kivipi usimsahau sasa mbona hayo maneno ni ya kawaida kabisa kuambiwa
OK aseeIt was my first time aisee....
Naomba namba yakeKipnd Dom Kuna Demu Alinitongoza Kupitia simu Kwa kuwa napenda kitonga nikamkubaria ila aliniambia anataka kunipa tigo Hiyo ndo ikawa bye bye