Kwa wenye historia ya kutongozwa na mwanamke tuambie hapa

Tuma ndugu yangu. Nazisubiri
 
Nimeona huu uzi haki nimeishia kucheka tu, ila wenye mageto, mko singo na pengine una kazi haki Mungu anawaona.......😂
 
Mara ya kwanza kushawishiwa nilikua chekechea. Round about ya Peace, Makumbusho, zamani huu upande wenye nyumba za makazi ulikua ni eneo tupu lenye magari mabovu tupu watoto tulikua tunaenda kucheza humo.

Basi siku hiyo Siwema akaniuliza "Hivi unajua humu watu hua wanafanya mchezo mbaya?" Nikajibu "Mi sijui" akasema "Njoo nikuonyeshe" Nikaenda.

Mara nyingine ni nikiwa form three kuna mdada wa ndani aliletwa kwa jirani yetu, aliitwa Tumaini. Tulikutana dukani akaniuliza jina nikadanganya naitwa Bakari. Baada ya muda akaanza kunitumia barua na kumtuma jamaa wa dukani. Nilimkataa kwakua alikua mrefu kuliko mimi.
Mwaka mbele Tumaini alikua mzuri chura kama wote, nikarudi kubembeleza akanijibu "Ulichezea nafasi acha waitumie wenzio"

Mwingine ni form four aliitwa Mage, sitamzungumzia (Mungu amrehemu).

Nikiwa form four kuna binti aliitwa Sophia akafall akafunguka, nikamkimbia, hakunivutia.

Nikiwa form five kuna binti anaitwa Farida akanishawishi, huyu nilimmega kwakua mara ya kwanza nilivyokataa alitangaza mimi shoga.

Form six kuna bibi akafall akafunguka, sitamzungumzia.

Mwingine nikiwa chuo mwaka wa Pili, yeye alikua form two akafall akafunguka nikaweka.

Kuna binti alikua dip akafall akafunguka, nikaweka.

Bonge la gape limepita hadi mwaka jana kuna binti anaitwa Mwajuma akasema ananipenda. Nikamkimbia. Hakunivutia.

Kwa ambao nimewasahau watanisamehe ila kiukweli wanawake wanawapenda sana wahuni.
 
kwa iyo we muhuni?
 
Of course mkuu watoto wakike wanapenda mno wahuni wazee bad boys....chuo mtu ukiwa mpole sana unaweza kufa....hapo sio uhuni wa mabangi club sana noon.... Kuwa mchangamfu tu muongeaji flani pia unapenda matukio utafaidi Sana[emoji16][emoji16]
 
Me sijawahi kutongozwa aseee kwanza hata Kama nakupenda ukishanitongoza tu au kwenye mapenzi ukijifanya una mizooka mingi me nakutoa kbsa kichwan na mashine haisimami tena
 
Mimi nilishawahi lutongozwa na singo mama mmoja ambaye alikua na inye gwedegwede. Lilivyoona sina mpabgo nalo likataka nilitie tu. Basi mzee nikampelekea moto. Sijaonana nalo mpaka leo ni muda sasa.
 
Mm nilitongozwa nkakataa kuna mda huruma ina expire date yake
Anisamehe tu
 
Itanibidi nifungue Uzi wangu kwa ajili ya hii mambo kwa siku naweza kutongozwa kati ya warembo watano mpaka nane
 
Mimi kipindi hicho nasoma advance siku moja nikiwa narudi nyumbani nilipanda bus fulani hivi lililokua limetoka Dar es salaam likielekea mjini kwetu, basi nilipata siti ya nyuma ya mrembo mmoja matata, mweupe mwenya kashape amaizing basi alijeuka nyuma akaniasalimu tukaanza story mbili tatu zikanoga akatoka seat yake na kuja siti niliyokua nimekaa, story zilikolea akaanza kunisifia nilivyo Handsome kabla sijamjibu chochote alinikwida na kuanza kunipiga denda nami bila hiyana nilimpa support nakujiongeza baada ya hot romance tulibadilishana namba ya simu na niliposhuka tu tukaanza kuchat akaniambia amenimiss sana na ananipenda kuliko maelezo, nilivyofika nyumbani nilifikiria sana yaliyonikuta nilimtukana sana yule dada kwani alichonifanyia ni udhalilishaji na ndio ukawa mwisho wa maongezi yetu...
 
Rekebisha dogo neno sahihi ni "conversation" ambalo maana yake ni "the use of speech for informal exchange of views or ideas or information etc," na wala sio "conservation" neno Conservation [n.]: maana yake ni: "The act of preserving, guarding, or protecting; the keeping (of a thing) in a safe or entire state; preservation." dogo sio lazima kuandika kimalkia unaweza kuandika kiswahili tu ukaonekana ni maridadi na uko smart kichwani, nilipita tuu sio shabiki wa hapa
 
Kuna demu mmoja those days aliniambia " oyaa leo jioni saa moja naomba uje kwangu, usikose unaskia?...nikamuona yuko so serious so nikamuuliza kuna issue gani? Bila kunikawiza akaniambia "nataka uje unikaze leo ".... Sitomsahau yule dada.
Nimeshangaa na kuvutiwa na boldness ya huyo bidada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…