Kwa wenye mademu wahenga zaid ya Ommy Dimpoz tukutane hapa

Sijawahi kufurahia utani wenye kuhusisha baba na mama, hapana....[emoji135] [emoji135]
 
Sijawahi kufurahia utani wenye kuhusisha baba na mama, hapana....[emoji135] [emoji135]
Mkuu huu haukua utani

Ngoja nikupe faida moja Mkuu

Ni kwamba vita haichagui silaha yeyote unaweza kutumia kumuangamiza adui
 
Mkuu huu haukua utani

Ngoja nikupe faida moja Mkuu

Ni kwamba vita haichagui silaha yeyote unaweza kutumia kumuangamiza adui
Amigo......
Ebu ngoja nielekee huku, najua unajua
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…