Kwa wenye maduka ya jumla na reja reja nina mzigo

Kwa wenye maduka ya jumla na reja reja nina mzigo

L

Mkuu sipingi kuwa brand yako sio nzuri.....ambacho nakataa mpaka keshokutwa ni wewe kutumia vibaya majina ya brand zingine kutaka kuhalalisha brand yako. Hapo umefeli kabisa na sidhani kama ni approach nzuri. Mara nyingi makampuni mengi humarket bidhaa zao kwa kuzisifia na kuonesha zilivyobora kuliko za makampuni mengine without mentioning them direct.

Kuzitaja ni kuua biashara za wengine....ifikie hatua usishupaze shingo....take time na elewa otherwise hata wewe hizo bidhaa zako sio nzuri.
Why mention rungu max and hit max?
Why Colgate and whitedent? Was it necessary? Stop being silly.
Tufanye umeshinda bruhv, case closed!
 
Ha ha ha ha! Imenikumbusha mdau mmoja aliomba ushauri wa TV gani anunue nikataja Samsung, Lg , Sony kua ni global brand akaja mtu kunilalamikia kua nime undermine type zingine…
Huwezi kuzungumzia TV bila kuwataja key brands kwenye soko. Utazungumziaje brand za mti mti za kichina kama Soy, Solistar sijui 😂😂😂 mbele ya wakongwe.
 
Unauza brand au unauza wembe? Usirahisishe mambo.please. Kama unasambaza uza hata 8k maana wewe unachukulia 6500/. Kula kidogo
Mkuu hizi ni imports hazizalishwi vingunguti wala kibaha 😂!
Sisi tunamalizana na walamba asali wa TPA na Customs kabla ya kufikia soko. Bei iko juu kiaina.
 
Naomba unipe cotaion ya bidhaa zote unazouza zote na namna nitakavyozioata kwa mwanza
 
Back
Top Bottom