Kwa wenye shida upande wa Software za simu na tool tukutane hapa

Kwa wenye shida upande wa Software za simu na tool tukutane hapa

mkubwa niko na flashing box za piranha na volcano hazifanyi kazi sasa hivi maana developers wamesitisha kuzisapoti sijui unanishaurije
kwa kawaida ili ku actvate box ama dongle hua ni kila mwaka jalibu ku actvate na ulipie hiyo huduma hua sio bure
lakini kuna clack zenye nguvu zinazoweza kufanya kazi kuzidi hadi box ama dongle moja ya tool hiyo ni miracle thunder 3.04 ina nguvu sana hii kiasi kwamba box na dongle zikajipange upya maana inaweza kupita hadi na baadi ya simu za oppo ivyo unaweza tafuta hiyo clack ikiwa servce ya box zako iko off na ukaenjoy maisha kama mwanzo
 
Mkuu simu yangu Tecno C8 inajikatakata yenyewe na kusema unfortunately stopped inataka niiapdate nkibonyeza update inagoma
 
apo naambiwa iko upto date mkuu
hiyo unaweza ongezea hadi 9 na hapo hua ni mwisho sijajua kama zinaendelea zaidi fungua
setting shuka hadi palipoandikwa software update baada ya hapo utaona ops 3 chagua ya kwanza download and install uwe na bando la kutosha tu

@
Waterbender
 
Nina simu Infix note 4 imepoteza kamera ya mbele yani selfie ,nilijaribu kwenya kwataalamu akaiwekea file ikaludi lakini inapoteza baada ya kureset ,so unanisaidiaje ndugu?
 
Nina simu Infix note 4 imepoteza kamera ya mbele yani selfie ,nilijaribu kwenya kwataalamu akaiwekea file ikaludi lakini inapoteza baada ya kureset ,so unanisaidiaje ndugu?
kama ililudi na baadae ukafanya factor reset ikapotea jalibu ku download app nyingine ya camera inaweza kusaidia mkuu ikiwa haijasaidia weka firmware kwa mara nyinyingine na usiifanyie tena factor reset
 
Msaada je? Kuna apps inaweza tunza nyimbo na video na kuplay ofline na pia siku ikipotea unaiinstall unazikuta tena nyimbo na video zako vilevile. Memory zinapoharibika napoteza nyimbo ninazopenda

Sent from my KIICAA POWER using JamiiForums mobile app
Tumia app inaitwa Google Drive. inahifadhi files online, pia unaweza weka copy offline. Siku file zikipotea una download tena app ya Drive, unakuta file zako. Pia unaweza hifadhi file yoyote kama app, picha, video, excel, pdf, program, nk.
 
Nahitaji namna ya kubaypass google account FRP kwenye smu ya samsung A20 kwa tools na pc
 
kwa kawaida ili ku actvate box ama dongle hua ni kila mwaka jalibu ku actvate na ulipie hiyo huduma hua sio bure
lakini kuna clack zenye nguvu zinazoweza kufanya kazi kuzidi hadi box ama dongle moja ya tool hiyo ni miracle thunder 3.04 ina nguvu sana hii kiasi kwamba box na dongle zikajipange upya maana inaweza kupita hadi na baadi ya simu za oppo ivyo unaweza tafuta hiyo clack ikiwa servce ya box zako iko off na ukaenjoy maisha kama mwanzo
Tunaomba link brother kaka,tunaitaka sana hii crack ya miracle thunder version 3.04
 
mkuu mimi nna oppo f7 kila nkijaribu ku unlock inaniletea error meseji kwamba "The boot not support the phone" nifanyaje
 
Mkuu nina simu mbili zote matatizo tofauti,
1. spark 2, hii tatizo lake kila nikiwasha simu huwa inawaka harafu kwa juu inaleta ka notificatio kuwa .Sim proccesser,
2. Nokia lumia, ilijilock flight mode na haitoki, ikibonyeza kuitoa inacheza cheza inachemka harafu inarudi pale pale kwenye airplan mode,
Je katika kila simu natakiwa kufanya nini ili nitumie simu hizo nomal
 
mkubwa niko na flashing box za piranha na volcano hazifanyi kazi sasa hivi maana developers wamesitisha kuzisapoti sijui unanishaurije
hiyo volcano ni ipi maana ziko 3 kuna nyeusi nyeupe nyekundu yako ipi hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom