napenda movie
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 543
- 481
- Thread starter
-
- #21
kwa kawaida ili ku actvate box ama dongle hua ni kila mwaka jalibu ku actvate na ulipie hiyo huduma hua sio buremkubwa niko na flashing box za piranha na volcano hazifanyi kazi sasa hivi maana developers wamesitisha kuzisapoti sijui unanishaurije
hiyo unaweza ongezea hadi 9 na hapo hua ni mwisho sijajua kama zinaendelea zaidi fungua
setting shuka hadi palipoandikwa software update baada ya hapo utaona ops 3 chagua ya kwanza download and install uwe na bando la kutosha tu
@
Waterbender
Naiomba iyo ilimladi tu nyimbo zispoteekwengu mimi hiyo plogram bado cjaipta ila plogram kama softplay ukiwa na account hutunza ila unaplay kwa kutumia streaming lazima uwe na datta
Linaweza kutunza nyimbo zangu achana na wabazoweka waoDe la musique pour tous.
na kuna boom play
jiunge na mega unaweza tunza inakupa GB 50Linaweza kutunza nyimbo zangu achana na wabazoweka wao
Sent from my KIICAA POWER using JamiiForums mobile app
Ipo play storejiunge na mega unaweza tunza inakupa GB 50
ndio ipo vile vile unaweza itumia hata kwa pc iko vizuri sana mkuu unaweza tunza vitu vyako vyotee
kama ililudi na baadae ukafanya factor reset ikapotea jalibu ku download app nyingine ya camera inaweza kusaidia mkuu ikiwa haijasaidia weka firmware kwa mara nyinyingine na usiifanyie tena factor resetNina simu Infix note 4 imepoteza kamera ya mbele yani selfie ,nilijaribu kwenya kwataalamu akaiwekea file ikaludi lakini inapoteza baada ya kureset ,so unanisaidiaje ndugu?
Tumia app inaitwa Google Drive. inahifadhi files online, pia unaweza weka copy offline. Siku file zikipotea una download tena app ya Drive, unakuta file zako. Pia unaweza hifadhi file yoyote kama app, picha, video, excel, pdf, program, nk.Msaada je? Kuna apps inaweza tunza nyimbo na video na kuplay ofline na pia siku ikipotea unaiinstall unazikuta tena nyimbo na video zako vilevile. Memory zinapoharibika napoteza nyimbo ninazopenda
Sent from my KIICAA POWER using JamiiForums mobile app
Tunaomba link brother kaka,tunaitaka sana hii crack ya miracle thunder version 3.04kwa kawaida ili ku actvate box ama dongle hua ni kila mwaka jalibu ku actvate na ulipie hiyo huduma hua sio bure
lakini kuna clack zenye nguvu zinazoweza kufanya kazi kuzidi hadi box ama dongle moja ya tool hiyo ni miracle thunder 3.04 ina nguvu sana hii kiasi kwamba box na dongle zikajipange upya maana inaweza kupita hadi na baadi ya simu za oppo ivyo unaweza tafuta hiyo clack ikiwa servce ya box zako iko off na ukaenjoy maisha kama mwanzo
hiyo volcano ni ipi maana ziko 3 kuna nyeusi nyeupe nyekundu yako ipi hiyo mkuumkubwa niko na flashing box za piranha na volcano hazifanyi kazi sasa hivi maana developers wamesitisha kuzisapoti sijui unanishaurije
Hivi langi nayo inamatter,mkuu ni nyekunduhiyo volcano ni ipi maana ziko 3 kuna nyeusi nyeupe nyekundu yako ipi hiyo mkuu