Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
habari bandugu,
nina dogo hapa alikua anasoma Sua akamaliza mwaka wa kwanza course ya natural conservation ame disco.
Baada ya kupata matokeo hayo fasta aka aply tcu upya amepata sekomu bsc in eco tourisim and natural conservation ndo ameenda ku report.
Sasa kwa Sua alikua na mkopo 20% je kuna namna huko alikoenda afanye apate mkopo? Wenye kujua hili naomba mnisaidie manake hali ni mbaya
nina dogo hapa alikua anasoma Sua akamaliza mwaka wa kwanza course ya natural conservation ame disco.
Baada ya kupata matokeo hayo fasta aka aply tcu upya amepata sekomu bsc in eco tourisim and natural conservation ndo ameenda ku report.
Sasa kwa Sua alikua na mkopo 20% je kuna namna huko alikoenda afanye apate mkopo? Wenye kujua hili naomba mnisaidie manake hali ni mbaya