Kwa yalionipata nimekoma kufanya mapenzi gizani

Kwa yalionipata nimekoma kufanya mapenzi gizani

Kuna kaka alinihadithia story tofauti kidogo na ya kwako, mdada very decent mtoto wa gate, alimaliza form six lakini matokeo hayakuwa mazuri sana, alipata direct employment kwenye ofisi yao (kwa kujuana). Kaka hangaika karibu miezi mitatu kufuzia mtoto, amweleze nini, mtoto asubuhi anashushwa na 4x4 yenye kiyoyozi na jioni anakuja kuchukuliwa.

Kwa shida sana mkaka alimtoa lunch, baada ya hapo ni kama alifungua njia, mpaka siku mdada ameaga kwao anakwenda kwenye sherehe kwa rafiki yake. Mkaka kuchukua chumba hotelini, wamelala ananiambia imefika saa sita usiku kumbe dada kikojozi, godoro limelowa kabisa. Makaka amelowa mikojo. Khe, imefika J3 mkaka amebadilika hamtaki tena yule dada.
Ndio maana mimi
Mdada nikimtongoza akinisumbua namuacha.
Wanafucha mengi sana
 
Salaam

kama mjuavyo kuna dada nilikuwa namzimia sana kifupi nilikufa kwake,lakini yule dada kila nilikuwa nikiongea nae yeye alikuwa anaangalia chini au pembeni

mimi nikajua ni mbwembwe tu za kike basi baada ya kilio cha muda mrefu ikafika siku ya mtanange nikamchukua yule dada mpaka gest
kufika ndani nikachojoa aah mwenzangu mpaka taa izimwe hajisikii kufanya mapenzi na mwanga wa taa

ok mwisho wa siku kishingo upande nikakubali taah giza totoro akaanza kuchojoa si ikafika muda akaniuliza vipi unapenda kuimbiwa nikakubali haa kutahamaki yupo chini kende zipo mdomoni mwake mi nilikuwa sijawahi kufanyiwa mchezo ule nikawa nimetulia

tukamaliza tukarudi home sasa mimi nilipokwenda kuoga kila nikigusa kende na nikipaka sabuni zina maumivu makali sana

aah nikajua kawaida tu mpaka asubuhi kende zimevimba kama mpira na limekwarudhika kama mtu aliekwaruzwa na kucha za paka

kumbe yule dada meno yake yamekatika katika sasa yalikuwa yananikwaruza bila mi kujua tangu nilipopona

nilipata funzo na pia wenzangu nawapa funzo mapenzi ya kwenye giza hayafai
Kwani kwenye mwanga ungeyaona meno mkuu?
 
Teh teh utamu wa mua ulizamisha meli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124]
 
Hahahaha umenichekesha Sana, Kama mazuri vile
 
Back
Top Bottom