Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Katiba ya CCM imekataza Azimio kama hilo kwenye zoezi la kutafuta mgombea wa urais.Mkuu zoezi la uchaguzi halijaanza, ila amefanikiwa kuwa na AZIMIO la mkutano mkuu, akili kubwa sana hiyo
Wamelazimisha tu kwa sababu hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba.