LGE2024 Kwa yaliyojitokeza Uchaguzi Serikali za Mitaa, Waziri Mchengerwa ulistahili kushtakiwa kwa uhaini

LGE2024 Kwa yaliyojitokeza Uchaguzi Serikali za Mitaa, Waziri Mchengerwa ulistahili kushtakiwa kwa uhaini

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mchengerwa hizi damu zilizomwagika kwenye uchaguzi huu zinakulilia wewe na uzao wako kamwe hutabaki salama hasira ya Mungu iko juu yakichwa chako.
Kuna watu kuwepo kwao ni hasara kwa nchi, mmojawapo ni huyu Waziri. Mipango yake ya hovyo imesababisha vifo vya watu wasio na hatia.

Mungu wetu tunaomba, laana ya damu za watu waliouawa iwe juu ya huyu mchengerewa na kizazi chake.

Uhai wa waliokufa una thamani sawa na wa kwake, ila yeye amewafanya wengine siyo binadamu kama yeye!! Ni Mungu pekee atakayemwonesha kuwa na hao waliowaua ni binadamu sawa na yeye, wana familia na ndugu kama yeye.
 
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
Huyu baada ya Hangaya kuondoka labda akimbie nchi
 
Haya mchengerwa akishajiuzulu hilo tatizo litakuwa limepatiwa ufumbuzi?hebu tupe wewe njia ya kulikomesha jambo hili lisitokee tena!
Kaisha sababisha uhai wa watu kupotea, serikali kutumia pesa nyingi na malengo ya umma kupata viongozi kutokamilika pia kuhatarisha usalama wa nchi.
Ashtakiwe kwa makosa haya makubwa ya uhaini ili wengine wasije kunajisi shughuli njema za serikali za kupata viongozi.
Lakini pia uchaguzi utangazwe kuwa ni Null and void.
Ni aibu kwa Rais Samia, serikali na raia wa TZ kwa pamoja mbele ya uso wa dunia.
 

Attachments

  • All_Video_Downloader_emmanuelrobertnganya_EA47F940EBCC9F7B64C510485E70F3B2_video_dashinitmp4.mp4
    6 MB
Kaisha sababisha uhai wa watu kupotea, serikali kutumia pesa nyingi na malengo ya umma kupata viongozi kutokamilika pia kuhatarisha usalama wa nchi.
Ashtakiwe kwa makosa haya makubwa ya uhaini ili wengine wasije kunajisi shughuli njema za serikali za kupata viongozi.
Lakini pia uchaguzi utangazwe kuwa ni Null and void.
Ni aibu kwa Rais Samia, serikali na raia wa TZ kwa pamoja mbele ya uso wa dunia.
Umesema vyema kiongozi lakini kwa kipindi hiki naona kuna mambo mengi kama upinzani hususani Chadema hawapo siriasi sasa sina hakika na aina ya uongozi walio nao ngazi za chini imarisheni vyama yote haya yatakwisha!
 
Huyu baada ya Hangaya kuondoka labda akimbie nchi
Kuna wanaoyaona haya ni madogo mfano jamaa hapa juu Nas Mapesa lakini maamuzi na kiburi cha Mchengelwa yamesababisha damu za Watanzania zimemwagika, na hali hii ikiachwa izoeleke nini kitatokea 2025 uchaguzi mkuu? Lazima aazibiwe hata kama kuna cha mkwe au mjomba.
 
Umesema vyema kiongozi lakini kwa kipindi hiki naona kuna mambo mengi kama upinzani hususani Chadema hawapo siriasi sasa sina hakika na aina ya uongozi walio nao ngazi za chini imarisheni vyama yote haya yatakwisha!
Kama hawapo siriasi mbona chama tawala kinatumia dola kuchukua dola?
Kama ngazi za chini haziaminiki kwa nini wanawaua na wengine kama vijana/watoto wetu kama Soka nk wanawateka na kuwapoteza?
Mbona haya mambo hayatokei TLP, UDP, NCCR nk?
Kipara kama ni mcha Mungu na unasema ukweli, tuambie Chadema sio makini kweli? Chadema haiogopwi na watawala?
 
Kama hawapo siriasi mbona chama tawala kinatumia dola kuchukua dola?
Kama ngazi za chini haziaminiki kwa nini wanawaua na wengine kama vijana/watoto wetu kama Soka nk wanawateka na kuwapoteza?
Mbona haya mambo hayatokei TLP, UDP, NCCR nk?
Kipara kama ni mcha Mungu na unasema ukweli, tuambie Chadema sio makini kweli? Chadema haiogopwi na watawala?
Je una uhakika TLP,UDP,CUF na CCM watu wao hawapotei hawafii hawatekwi ni Chadema tu ,una uhakika yatokeayo yana viashiria vya kisiasa Mr Chakaza usiriasi niuzungumzia mimi ni ile Chadema ya dr slaa ya hoja si ya matukio na kutafuta huruma ya wananchi,ucha wangu Mungu usiniweke kwenye ushahidi wa jambo nisilolithibitisha kwa kuliona wala kulisikia!
 
Watumishi wenye viapo kabisa wanafikia kuwalaghai wamama wazee kama hawa ni aibu kwa Rais Samia, serikali, chama tawala na zaidi kwa muhusika Waziri Mchengelwa. Ni aibu kwa kufanya hadaà za aina hii kupata mwenyekiti wa kijiji au mtaa.
 

Attachments

  • All_Video_Downloader_chadema_in_blood_B6402EDE427C26064CE874C54D5497AD_video_dashinitmp4.mp4
    29.9 MB
Je una uhakika TLP,UDP,CUF na CCM watu wao hawapotei hawafii hawatekwi ni Chadema tu ,una uhakika yatokeayo yana viashiria vya kisiasa Mr Chakaza usiriasi niuzungumzia mimi ni ile Chadema ya dr slaa ya hoja si ya matukio na kutafuta huruma ya wananchi,ucha wangu Mungu usiniweke kwenye ushahidi wa jambo nisilolithibitisha kwa kuliona wala kulisikia!
Hoja za Dr Slaa hazikuwa zake bali za Chama naye alikuwa muwasilishaji. Na zama zinatofautiana, enzi za JK zilikuwa za kujadiliana lakini awamu ya 5 na hii mnayoita ya 6 (ingawa ni ya 5) ni zama mpya za kutumia risasi, funga na fungua wapinzani, sifa za uongo na kuandaa machawa wa kusifia uongo kwa gharama ya wapiga kura.
Umesahau wakati wa Makinda bunge lilikuwa linaketi siku nyingine hadi usiku kujadili mafisadi bila woga?
Leo kuna mbunge atasimama bila kumtaja "mama Samia x 50"? pasipo sababu yeyote!
Hakuna kukosoa wala mawazo mbadala.
 
waziri mwenye dhamana ya TAMISEMI amefanya kanzi kubwa, nzuri na yenye weledi wa kiwango cha juu mno.

Huyu ni miongoni mwa viongozi vijana wazalendo wa kiwango cha juu sana.

uchaguzi ulikua huru, ulikua wa haki na wa wazi sana. Wasimamizi waliandaliwa vizuri sana. Na utaratibu wa kupiga kura ulikua rahisi mno.

Waziri anastahili pongezi,
na ni muhimu sana akapewa maua yake bila chuki binafsi.
Ameandika historia katika taifa hili 🐒
Mkaza mwana
 
Kaisha sababisha uhai wa watu kupotea, serikali kutumia pesa nyingi na malengo ya umma kupata viongozi kutokamilika pia kuhatarisha usalama wa nchi.
Ashtakiwe kwa makosa haya makubwa ya uhaini ili wengine wasije kunajisi shughuli njema za serikali za kupata viongozi.
Lakini pia uchaguzi utangazwe kuwa ni Null and void.
Ni aibu kwa Rais Samia, serikali na raia wa TZ kwa pamoja mbele ya uso wa dunia.
Nanukuu: "....Lakini pia uchaguzi utangazwe kuwa ni Null and void"
Nakazia hoja.
 
Mtaendelea kulia lia tu na kulaani ila ndio kama hivyo CCM Mbele kwa Mbele, kama vipi nendeni the Hague🐼
 
Mchengerwa hizi damu zilizomwagika kwenye uchaguzi huu zinakulilia wewe na uzao wako kamwe hutabaki salama hasira ya Mungu iko juu yakichwa chako.
Taratibu mkuu laana haziendi hivyo 👀😅
 
Ulitahadharishwa kutokea mapema juu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa na kasoro zake tokea uandikishaji kama waziri mwenye dhamana ukadharau.

Ukashauriwa hiki na kile pia ukapuuza hadi uchaguzi kwa kiwango cha kutisha umeharibika na watu kadhaa wameripotiwa kuuwawa.

Ni upole tuu wa vyama vya upinzani na Watanzania na tabia yao ya "Kumwachia" Mungu kila jambo ndio yameponya taifa hili na kulipuka kwa ghasia. Je, huoni ulitaka kuipeleka nchi yetu pendwa kusikofaa?

Unastahili kabisa kushtakiwa kwa uhaini sasa, lakini kwa vile hayo uliyofanya yalikuwa kwa dhamira ya kukisaidia chama chako haiwezi kutokea leo, ila jinai Haiti kesho na kesho kutwa yaweza kufufuka na hakuna atakaye jua au kujali uhusiano wako na ex-president.

Ila una nafasi moja tuu ya kuzuia hilo kwa sasa, waombe radhi Watanzania kwa kuwaharibia mfumo wao wa kupata viongozi katika ngazi inayowagusa directly na wanaweza nalo hilo "Wakamuachia Mungu".
Nafikili ni uwoga sio upole mkuu mambo ya kupotezana nani anayataka
 
Kwanza tu kuwepo kwa Mkwe wa Rais ni bonge la Red Flag 😔 wengi hawafahamu msukumo ambao Mume wa Wanu anapitia kutoka kwa Mama Mkwe


Na kweli ingekuwa nchi nyingine wasingekubali close family member kusimamia Uchaguzi ambapo mama mkwe ni Mwenyekiti wa chama.
Wangeliwnzisha angewekwa mwingine ili kuweka imani na kuondoa mgongano wa maslahi.
Inaleta ukakasi kwa kusema ukweli na haki.
 
Nakumbuka Maneno aloambiwa siku alipo Apis has kwenda hiyo wizara ya tamisemi na mwapishaji.
 
Back
Top Bottom