Kwa yaliyonitokea, naamini wanawake wakifikisha miaka 30 bila ndoa wanachanganyikiwa

Kwa yaliyonitokea, naamini wanawake wakifikisha miaka 30 bila ndoa wanachanganyikiwa

Wanawake wakiwa kwenye peak ya uzuri wao, wanakuwa wanaringa sana na wanajikuta wamekosa bahati.

Yule mmama Rita Paulsen wa kwenye bongo star search miaka ya nyuma kipindi bado anaita, walikutana na Billget kwenye mkutano flani, Billget akamsalimia kwa bashasha kweli madame Rita, Rita kamfunikia vioo anaona mzungu gani choka huyu, baadae anakuja kuambiwa huyo ndiye tajiri mwenyewe Billget, aisee alijiona mjinga sana.


Wanawake uzuri usiwachanganye mkafanya maamuzi si sahihi.
 
2010 nilifanya kazi ofisi moja ya masuala ya Bima huko Arusha, HR alikuwa ni Mama mmoja wa Kihehe! Nilidhani ameolewa kumbe hakuwa na mtoto wala mume! Aisee gubu lake lilikuwa sio la kitoto! Yaani kitu kidogo tu Mama anatoa ya moyo utadhani ofisi nzima ndo imemkosea. Siku moja tulifanya sherehe tukatoka out wafanyakazi wote na familia zao, Bi Mkubwa alikaa peke yake pembeni kabsa kiufupi alijitenga na watu! Mimi nikajitosa nikaenda! Kudadeki kilichonikuta mpaka nilijisikia vibaya. Alinitukana balaa na kunimwagia pombe! Nikaona isiwe kesi nikawa mpole. Ila sikuacha kumfuatilia, mara kadhaa nilikuwa namsalimia na kumjulia hali, huku mara moja moja nikimlipia chakula cha mchana kwa siri siri.
Ilichukua miezi mitatu HR akajaa kwenye mfumo! Aisee tulikwenda date akanipa stori yake mpaka nikabaki nashangaa tu! Yaani Usichana wake alikuwa anaishi kwenye misingi ya Kitomboy na hata chuoni alikuwa mbabe kupita maelezo. Hapo alikuwa na 44 yrs ila bado mali inalipa! Tackle na rangi mng'ao! Enzi hizo bado mimi ni kijana wa ovyo nikaona fursa!
Anyway! Nilipata fursa nyingine Dar es Salaam hivyo mkataba ulivyoisha niliondoka ila sio kinyonge nilimkula vizuri tu, nikawa napewa merit increase kijana wa watu! Nakumbuka kuna siku nilikwenda kumkula alisema kwa unyonge, si unipe mtoto tu jamani! Mimi kimoyomoyo nikajisemea "Ahh we, ngumu hiyo"
WOMEN AGE LIKE FLOWER 🌹 & MEN AGE LIKE WINE :WineTime:
 
Wanawake wakiwa kwenye peak ya uzuri wao, wanakuwa wanaringa sana na wanajikuta wamekosa bahati.

Yule mmama Rita Paulsen wa kwenye bongo star search miaka ya nyuma kipindi bado anaita, walikutana na Billget kwenye mkutano flani, Billget akamsalimia kwa bashasha kweli madame Rita, Rita kamfunikia vioo anaona mzungu gani choka huyu, baadae anakuja kuambiwa huyo ndiye tajiri mwenyewe Billget, aisee alijiona mjinga sana.


Wanawake uzuri usiwachanganye mkafanya maamuzi si sahihi.
Snaaa
 
Wanawake wakiwa kwenye peak ya uzuri wao, wanakuwa wanaringa sana na wanajikuta wamekosa bahati.

Yule mmama Rita Paulsen wa kwenye bongo star search miaka ya nyuma kipindi bado anaita, walikutana na Billget kwenye mkutano flani, Billget akamsalimia kwa bashasha kweli madame Rita, Rita kamfunikia vioo anaona mzungu gani choka huyu, baadae anakuja kuambiwa huyo ndiye tajiri mwenyewe Billget, aisee alijiona mjinga sana.


Wanawake uzuri usiwachanganye mkafanya maamuzi si sahihi.
Mkuu ya kweli haya?Maana "mimi" nimezaliwa Novemba 1999 sina khabari!
 
Kwahio Masister / Watawa wote wana belong kwenye hospitali ya vichaa na sio Makanisani !!!

To each their Own....; By the way huwezi kutambua feeling / matakwa ya mtu bila kuwa kwenye viatu vyake....
 
45 bd kijana ww km uko unajipendaa ,sema akatafute babu mwenye miaka 70 kwenda mbelee..
 
Back
Top Bottom