Mwaka 2018 nilimuelewaga binti enzi hizo yeye ana miaka 25 mimi nna miaka 30, na mda huo nlikuwa nishajipata kujenga tayari kazi nzuri nnayo na biashara zangu so kuowa haikunipa shida
Binti alikuwa ni pisi kali balaa hapa ndipo mjue wanawake wazuri kupindukia huwa hawataki ndoa ili wadange wakizeeka ndio wanaanza kulilia wnaume
Nikampeleka kwetu uchagani bwana wazee wakampokea wakampa na kanga kama zawadi ya kumpokea na kumkaribisha bomani kuwa wamemkubali kazi kwake
Ile tumemaliza tu kutambulishana kesho yake siku ya kurudi Dar akanirudishia ile kanga akasema itamletea mikosi kama nikimgeuka hataolewa tena, nikamwambia kama nikibadilika utaratibu unairudisha na maisha yanaendelea
Akaikataa akinivwagia pale niwarudishie wahusika daah alinikera vibaya sana, ikbidi ile kanga niifiche kwa aibu, tumefika airport alinikata upepo kabisa nikamwambia aondoke peke yake nikaenda kupanda kosta za usiku nikasepa maana hakukuwa na mabasi ya usiku enzi hizo
Nilipofika Dar tu nikamfungia mazima vioo hadi nikaja kupata mwanamke mwingine smart ambae nipo nae hadi leo, na tuna watoto
Hapa juzi bwana kanitafuta anasema ule ulikuwa utoto nimpe nafasi tena hata bila.mahari nikajitambulishe kwao nimchukue, hapo tayari ana miaka 31 uso ushaanza kuzeeka kipindi kile alivyokuwa kigoli alileta maringo
Nikamwambia sitaki wazee mimi tayari nna kigoli changu halali na tuna watoto wawili akatafute mzee mwenzake nikawambia kabisa umri wake akatafute zee la miaka 45 ndio size yake mda wake ushaisha
Aloo aliniblock whatsap hadi leo kapotea