Kwa yaliyotokea jana, ni uthibitisho kuwa Mashabiki wa Yanga kwenda Uwanjani inahitaji moyo na uvumilivu wa chuma

Kwa yaliyotokea jana, ni uthibitisho kuwa Mashabiki wa Yanga kwenda Uwanjani inahitaji moyo na uvumilivu wa chuma

Mpwimbe

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2023
Posts
455
Reaction score
818
Mashabiki wa Yanga tunapenda kusapoti timu yenu na wengi jana kuanzia asubuhi walifika uwanjani.

Wengine nyumbani wameacha familia, wengine wameaga wazazi kufanya angalau mtoko.

Wengine walikuwa na watoto, na wengine wameacha watoto nyumbani.

Watu wametoka Kimara, Kibaha, Tegeta, Chanika, Gongolamboto, Morogoro, Bunju, Boko, Mbweni, Rufiji, etc

Usafiri wa Dar es Salaam kila mtu anajua ulivyo shurti.

Lakini mambo Jana yasiyo na maana yalizidi kiasi cha kufanya jambo muhimu kufeli aisee.

Yanga Sasa hivi inapambania kupata mashabiki mpaka nje ya nchi, lakini kwenye publicity na uendeshaji wa matukio IKO SIFURI kabisa. Imekabidhiwa kwa msemaji very local and primitive ambaye akili yake inawaza mwisho Manzese tu na siye na busara hata chembe Wala akili.

Ni ukweli kuwa timu kwasasa inafanya vizuri na Ina maslahi, imegeuka Sasa kila mtu anataka kupata maslahi kwenye club na uongozi umeshindwa kudhibiti kabisa.

Daah,

Inasikitisha sana
 
Nyie pigeni kelele weeee ili mradi wananchi tuliokuwa uwanjani tumeenjoy vizuri hayo mengine ni wivu na chuki zenu tuu.
Watu wameondoka hata kabla ya mida kwasababu it was too boring.

Kama wataendelea huu ujinga, Kiukweli ipo siku mashabiki majuha tu ndio wanaenda kupigiwa makelele na huko
 
Manara wawe nae Makini atakuja kuchonganisha taasisi.

Hakukuwa na ulazima wa kumkejili Mo Dewji pale. Mi naamini hawa matajiri kuna nyakati wanahitajiana. Uwepo wa mtu kama Manara kwenye taasisi inayotaka kukua kama Yanga ni kirusi asee.
 
Mashabiki wa Yanga tunapenda kusapoti timu yenu na wengi jana kuanzia asubuhi walifika uwanjani.

Wengine nyumbani wameacha familia, wengine wameaga wazazi kufanya angalau mtoko.

Wengine walikuwa na watoto, na wengine wameacha watoto nyumbani.

Watu wametoka Kimara, Kibaha, Tegeta, Chanika, Gongolamboto, Morogoro, Bunju, Boko, Mbweni, Rufiji, etc

Usafiri wa Dar es Salaam kila mtu anajua ulivyo shurti.

Lakini mambo Jana yasiyo na maana yalizidi kiasi cha kufanya jambo muhimu kufeli aisee.

Yanga Sasa hivi inapambania kupata mashabiki mpaka nje ya nchi, lakini kwenye publicity na uendeshaji wa matukio IKO SIFURI kabisa. Imekabidhiwa kwa msemaji very local and primitive ambaye akili yake inawaza mwisho Manzese tu na siye na busara hata chembe Wala akili.

Ni ukweli kuwa timu kwasasa inafanya vizuri na Ina maslahi, imegeuka Sasa kila mtu anataka kupata maslahi kwenye club na uongozi umeshindwa kudhibiti kabisa.

Daah,

Inasikitisha sana
shida iko kwenye ubongo wako kumchukia huyo msemaji wa yanga,nenda kajambie mbali
 
Manara wawe nae Makini atakuja kuchonganisha taasisi.

Hakukuwa na ulazima wa kumkejili Mo Dewji pale. Mi naamini hawa matajiri kuna nyakati wanahitajiana. Uwepo wa mtu kama Manara kwenye taasisi inayotaka kukua kama Yanga ni kirusi asee.
Kukejeli alianza Mo mwenyewe juzi,manara kamalizia tu,kwa hiyo akifanya Mo kwa kua ni tajiri ni sawa?
 
Mapungufu ya jana yanavyojadiliwa ni kama vile hakukua na kitu chochote positive. Ratiba ilionyesha mechi inaanza saa 2:30. Lazima watu wangetoka usiku tuu.
Kwahiyo saa zima unaona kabisa hakuna tatizo kabisa.

Na hilo saa zima, kulikuwa na kitu gani cha maana kilichopelekea zaidi ya Hilo saa zima.

Na Kama Hilo saa zima siyo tatizo, kwanini mashabiki waliondoka kabla ya mechi?
 
Kwahiyo saa zima unaona kabisa hakuna tatizo kabisa.

Na hilo saa zima, kulikuwa na kitu gani cha maana kilichopelekea zaidi ya Hilo saa zima.

Na Kama Hilo saa zima siyo tatizo, kwanini mashabiki waliondoka kabla ya mechi?
Wapi nimesema sio tatizo?. Mechi imechelewa dakika 45, ni nyingi.
 
Mashabiki wa Yanga tunapenda kusapoti timu yenu na wengi jana kuanzia asubuhi walifika uwanjani.

Wengine nyumbani wameacha familia, wengine wameaga wazazi kufanya angalau mtoko.

Wengine walikuwa na watoto, na wengine wameacha watoto nyumbani.

Watu wametoka Kimara, Kibaha, Tegeta, Chanika, Gongolamboto, Morogoro, Bunju, Boko, Mbweni, Rufiji, etc

Usafiri wa Dar es Salaam kila mtu anajua ulivyo shurti.

Lakini mambo Jana yasiyo na maana yalizidi kiasi cha kufanya jambo muhimu kufeli aisee.

Yanga Sasa hivi inapambania kupata mashabiki mpaka nje ya nchi, lakini kwenye publicity na uendeshaji wa matukio IKO SIFURI kabisa. Imekabidhiwa kwa msemaji very local and primitive ambaye akili yake inawaza mwisho Manzese tu na siye na busara hata chembe Wala akili.

Ni ukweli kuwa timu kwasasa inafanya vizuri na Ina maslahi, imegeuka Sasa kila mtu anataka kupata maslahi kwenye club na uongozi umeshindwa kudhibiti kabisa.

Daah,

Inasikitisha sana
Nionyeshe Mechi ilitakiwa kuanza SAA ngapi na ilianza SAA ngapi?
 

Attachments

  • 20240805_084134.jpg
    20240805_084134.jpg
    127.5 KB · Views: 1
Mashabiki wa Yanga tunapenda kusapoti timu yenu na wengi jana kuanzia asubuhi walifika uwanjani.

Wengine nyumbani wameacha familia, wengine wameaga wazazi kufanya angalau mtoko.

Wengine walikuwa na watoto, na wengine wameacha watoto nyumbani.

Watu wametoka Kimara, Kibaha, Tegeta, Chanika, Gongolamboto, Morogoro, Bunju, Boko, Mbweni, Rufiji, etc

Usafiri wa Dar es Salaam kila mtu anajua ulivyo shurti.

Lakini mambo Jana yasiyo na maana yalizidi kiasi cha kufanya jambo muhimu kufeli aisee.

Yanga Sasa hivi inapambania kupata mashabiki mpaka nje ya nchi, lakini kwenye publicity na uendeshaji wa matukio IKO SIFURI kabisa. Imekabidhiwa kwa msemaji very local and primitive ambaye akili yake inawaza mwisho Manzese tu na siye na busara hata chembe Wala akili.

Ni ukweli kuwa timu kwasasa inafanya vizuri na Ina maslahi, imegeuka Sasa kila mtu anataka kupata maslahi kwenye club na uongozi umeshindwa kudhibiti kabisa.

Daah,

Inasikitisha sana
Mechi ilitakiwa ianze saa ngapi na ilianza saa ngapi?
 
Back
Top Bottom