Kwa yanayoendelea Arusha na RC Makonda, ni dhahiri watumishi wa umma wengi ni wazembe na hawana sifa!

Kwa yanayoendelea Arusha na RC Makonda, ni dhahiri watumishi wa umma wengi ni wazembe na hawana sifa!

G.T.L

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
1,254
Reaction score
2,519
Wasaalam.

Ni declee interest na mimi ni Mtumishi wa Umma.

Hili swala linaloendelea Arusha likiratibiwa na RC wa Arusha ni uthibitisho tosha sisi watumishi wa umma wengi wetu tuko Incompetent, Wazembe na Uadilifu uko chini.

Pamoja na wengi wanasema haya ni maigizo ya RC lakini emu chukua muda wako mchache usikilize maswali madogo na mepesi wanayoulizwa wahusika wa Idara/Kitengo jinsi wanavyojibu kimagamu magamu.

Japo na mimi sipendezwi na baadhi ya maneno ya Dhihaka na Mikwara toka kwa RC, lakini nikijikita kutafakari Maelezo na majibu wanayotoa watumishi wenzangu yanasikitisha sanaa nikijiweka kwenye viatu vya Raia wa kawaida.

Haya yanawezakua matokeo ya watu kupata kazi kwa Nepotism, Rushwa au Uzembe wa mtumishi binafsi kujiendeleza kimaarifa.

Pasipo kujali Personalities za RC, Je, sisi watumishi tunaji Evaluate vipi kabla hatujaaibishwa kwenye maCamera kama hivi?

Ndomana wakina Mbunge Msukuma na Kishimba wanatuponda Wasomi kwa mambo kama haya.
 
Wasaalam.

Ni declee interest na mimi ni Mtumishi wa Umma.

Hili swala linaloendelea Arusha likiratibiwa na RC wa Arusha ni uthibitisho tosha sisi watumishi wa umma wengi wetu tuko Incompetent, Wazembe na Uadilifu uko chini.

Pamoja na wengi wanasema haya ni maigizo ya RC lakini emu chukua muda wako mchache usikilize maswali madogo na mepesi wanayoulizwa wahusika wa Idara/Kitengo jinsi wanavyojibu kimagamu magamu.

Japo na mimi sipendezwi na baadhi ya maneno ya Dhihaka na Mikwara toka kwa RC, lakini nikijikita kutafakari Maelezo na majibu wanayotoa watumishi wenzangu yanasikitisha sanaa nikijiweka kwenye viatu vya Raia wa kawaida.

Haya yanawezakua matokeo ya watu kupata kazi kwa Nepotism, Rushwa au Uzembe wa mtumishi binafsi kujiendeleza kimaarifa.

Pasipo kujali Personalities za RC, Je, sisi watumishi tunaji Evaluate vipi kabla hatujaaibishwa kwenye maCamera kama hivi?

Ndomana wakina Mbunge Msukuma na Kishimba wanatuponda Wasomi kwa mambo kama haya.
Kuna umuhimu gani zoezi hilo kufanyika mbele ya kamera? Kwa hakika ni udhaifu wa mfumo mzima wa Utumishi wa Umma. Wanataka kuaminisha umma kuwa ni udhaifu wa mtumishi mmoja mmoja kitu ambacho ni uongo. Uongo ndiyo kawaida yao. Waongo tu.
 
Inawezekana wengine hawajazoea kuongea mbele ya watu wengi
Ni kweli, wengi wetu hatujazoea kuongea mbele ya halaiki, lakini mbona kuna maswali Mepesi sanaa mtaalamu anaulizwa alafu anakosa majibu sahihi?
 
Wasaalam.

Ni declee interest na mimi ni Mtumishi wa Umma.

Hili swala linaloendelea Arusha likiratibiwa na RC wa Arusha ni uthibitisho tosha sisi watumishi wa umma wengi wetu tuko Incompetent, Wazembe na Uadilifu uko chini.

Pamoja na wengi wanasema haya ni maigizo ya RC lakini emu chukua muda wako mchache usikilize maswali madogo na mepesi wanayoulizwa wahusika wa Idara/Kitengo jinsi wanavyojibu kimagamu magamu.

Japo na mimi sipendezwi na baadhi ya maneno ya Dhihaka na Mikwara toka kwa RC, lakini nikijikita kutafakari Maelezo na majibu wanayotoa watumishi wenzangu yanasikitisha sanaa nikijiweka kwenye viatu vya Raia wa kawaida.

Haya yanawezakua matokeo ya watu kupata kazi kwa Nepotism, Rushwa au Uzembe wa mtumishi binafsi kujiendeleza kimaarifa.

Pasipo kujali Personalities za RC, Je, sisi watumishi tunaji Evaluate vipi kabla hatujaaibishwa kwenye maCamera kama hivi?

Ndomana wakina Mbunge Msukuma na Kishimba wanatuponda Wasomi kwa mambo kama haya.
Nyie ndio mliosababisha zaidi ya miaka 60 tuendelee kuwa hivi!

MLAAANIWE.
 
Kuna umuhimu gani zoezi hilo kufanyika mbele ya kamera? Kwa hakika ni udhaifu wa mfumo mzima wa Utumishi wa Umma. Wanataka kuaminisha umma kuwa ni udhaifu wa mtumishi mmoja mmoja kitu ambacho ni uongo. Uongo ndiyo kawaida yao. Waongo tu.
Nakubaliana na wewe, kwa Nchi zetu za kiAfrica hizi Mfumo mzima wa Umma una changamoto nyingi sanaa pale Mlaji anapohitaji huduma.

Na hizi Camera ni Motive ya kisiasa ambayo RC inamlipa sanaa Personally na Chama chake.
 
Huwezi amini lakini wakati mwingine kujibu kwa kubabika ni utaalam wa kimkakati.
 
Nyie ndio mliosababisha zaidi ya miaka 60 tuendelee kuwa hivi!

MLAAANIWE.
[emoji1][emoji1][emoji1] Mkuu, Sisi sio Political figures kama unavyojua Politics ndo zinaendesha kila kitu.
Nilitarajia utawalaani CCM
 
Nakubaliana na wewe, kwa Nchi zetu za kiAfrica hizi Mfumo mzima wa Umma una changamoto nyingi sanaa pale Mlaji anapohitaji huduma.

Na hizi Camera ni Motive ya kisiasa ambayo RC inamlipa sanaa Personally na Chama chake.
Hilo ndilo tatizo kubwa. Wanasiasa wa Afirka wameishiwa pumzi na hiyo imesababisha mfumo mzima wa Utumishi wa Umma kukwama kutimiza majukumu yake kwa kuingiliwa na wanasiasa. Na hilo limesababisha hata mifumo ya nidhamu katika Utumishi wa Umma kushindwa kufanya kazi. Refer to CAG report. Rushwa imetawala. Ndiyo maana mtu mmoja mmoja anajitokeza na maigizo yake mbele ya kamera aonekane ni MKOMBOZI. Ni uongo mtupu.
 
Ukweli ni kwamba, watumishi wengi ni wavivu wa kufikiri na hawajui kujieleza.

Kuna muda wanafanya mambo mtu unaliangalia unasema hili linaweza kufanywa na mtu mpumbavu tu. Uvivu wa kufikiri ni tatizo kubwa sana
 
Hilo ndilo tatizo kubwa. Wanasiasa wa Afirka wameishiwa pumzi na hiyo imesababisha mfumo mzima wa Utumishi wa Umma kukwama kutimiza majukumu yake kwa kuingiliwa na wanasiasa. Na hilo limesababisha hata mifumo ya nidhamu katika Utumishi wa Umma kushindwa kufanya kazi. Refer to CAG report. Rushwa imetawala. Ndiyo maana mtu mmoja mmoja anajitokeza na maigizo yake mbele ya kamera aonekane ni MKOMBOZI. Ni uongo mtupu.
Upo sahihi Mkuu, ila imenishangaza sanaa baadhi ya majibu ya watumishi ambao wengi wao ni wakuu wa idara kushindwa kujibu maswali mepesi kabisa.
Tujitahidi kuonesha ubora wa Professions zetu ili kuwakata midomo wanasiasa uchwara
 
Ukweli ni kwamba, watumishi wengi ni wavivu wa kufikiri na hawajui kujieleza.

Kuna muda wanafanya mambo mtu unaliangalia unasema hili linaweza kufanywa na mtu mpumbavu tu. Uvivu wa kufikiri ni tatizo kubwa sana
Janga kubwa sana hili, pamoja na kuwa Serikali inajitahidi kutoa Refresher courses, Trainings na Mentorships tena kwa malipo lakini ukweli ni kwamba kuna wenzetu wana uzembe na upuuziaji mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom