ThnkingAloud
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 546
- 564
Tunaposema mfumo mzima wa Utumishi wa Umma umekwama ni pamoja na HIRING PROCEDURES kwenye Utumishi wa Umma. Maneno tu ya mtumishi yanakushangaza! Kwani hukuwahi kusikia mgonjwa wa kufanyiwa upasuaji wa mguu alifanyiwa upasuaji wa kichwa na yule wa upasuaji wa kichwa akafanyiwa upasuaju wa mguu kwenye hospitali kubwa tu ya taifa! JPM alipokuja na zoezi la vyeti fake mbona wengi mlipiga kelele! Civil service needs total overhaul.Ukweli ni kwamba, watumishi wengi ni wavivu wa kufikiri na hawajui kujieleza.
Kuna muda wanafanya mambo mtu unaliangalia unasema hili linaweza kufanywa na mtu mpumbavu tu. Uvivu wa kufikiri ni tatizo kubwa sana