Kwa yanayoendelea CHADEMA, na suala la Abdul bado mnaamini saini kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee ilifojiwa?

Kwa yanayoendelea CHADEMA, na suala la Abdul bado mnaamini saini kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee ilifojiwa?

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
25,874
Reaction score
36,030
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
Ni wazi CHADEMA haiaminiki tena haswa kwa namna hii ya sintofahamu ya Mbowe kutaka kuendelea kuwa Mwenyekiti wa kudumu CHADEMA
 
Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.
Mbowe hajang'ang'ania madaraka
 
Haja ng'ang'ania?
Sasa hiki kinachoendelea ni nini?
Minyukano ya kisiasa kugombea uenyekiti wa CHADEMA kupitia uchaguzi wa ushindani wa wagombea.
Huwezi kuelewa kwa sababu CCM mwenyekiti Taifa huwa hapatikani kupitia uchaguzi wa ushindani.
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
Swala la kina Mdee na wenzake halikuwa na Baraka ya Chama kwani wakati ule Raisi aliye pita hakuwa na uhusiano mzuri kabisa na viongozi wa CDM ndiyo maana wengine walipigwa lisasi na wengine wakawa wanaundiwa mizengwe ya uhaini. Ila yote kwa yote wakina halima walifanya walicho fanya ni usaliti lakini usaliti ktk mazingira gani. Mimi wakina halima si walaumu kwa waliyo fanya kwani pamoja na yote yaliyotokea bado hawakuwa na nia mbaya ila walichukuliwa wanania mbaya kwakuwa kila mtu alipanic.
 
Swala la kina Mdee na wenzake halikuwa na Baraka ya Chama kwani wakati ule Raisi aliye pita hakuwa na uhusiano mzuri kabisa na viongozi wa CDM ndiyo maana wengine walipigwa lisasi na wengine wakawa wanaundiwa mizengwe ya uhaini. Ila yote kwa yote wakina halima walifanya walicho fanya ni usaliti lakini usaliti ktk mazingira gani. Mimi wakina halima si walaumu kwa waliyo fanya kwani pamoja na yote yaliyotokea bado hawakuwa na nia mbaya ila walichukuliwa wanania mbaya kwakuwa kila mtu alipanic.
Mnyika na Mbowe walihusika kwa asilimia 100, hakuna saini iliyokuwa forged, baraka za Mbowe zilitolewa.
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
Lini Mbowe aling'ang'ania madaraka?
 
Tuacheni unafiki, ni nani angeikataa pesa kwa malipo ya kuanguka Saini na kugonga muhuri tu?? Binafsi ningeichukua vinginevyo hujui duniani umekuja kwaajili ya nini.
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.

..hakuna KIKAO kilichowapitisha, ndio maana wakafukuzwa.

..kugushi ni pamoja na kuidhinisha jambo ambalo ni kinyume na sheria au taratibu.

..kwa hiyo kama kuna kiongozi alisaini covid19 waende bungeni basi aligushi kwasababu alifanya hivyo bila kuelekezwa na kikao halali.
 
Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.
Ulikuwa sahihi sana ktk uzi wako huu mkuu Crimea .
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
Mke wa Naibu Katibu Mkuu bara Kamanda Benson Kigaila ni mmoja wa wabunge wa Covid 19.

Mzazi mwenza na demu wa muda wote wa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar ambaye ni Esther Matiko ni mbunge wa Covid 19.

Kisha utasema eti kuna uwajibikaji hapo. Hao Viongozi wa Chadema ambao wake zao walisaliti Chadema walipaswa kujiudhuru kuonyesha uwajibikaji. Ila ndio kwanza wanakula nao posho za Ubunge.
 
ACT kuwa chama kikuu cha upinzani..pamoja nacho kina mapungufu mengi tu...
 
Minyukano ya kisiasa kugombea uenyekiti wa CHADEMA kupitia uchaguzi wa ushindani wa wagombea.
Huwezi kuelewa kwa sababu CCM mwenyekiti Taifa huwa hapatikani kupitia uchaguzi wa ushindani.
Kumbe nawe ni chawa wa Mbowe
 
..hakuna KIKAO kilichowapitisha, ndio maana wakafukuzwa.

..kugushi ni pamoja na kuidhinisha jambo ambalo ni kinyume na sheria au taratibu.

..kwa hiyo kama kuna kiongozi alisaini covid19 waende bungeni basi aligushi kwasababu alifanya hivyo bila kuelekezwa na kikao halali.

Umeelewa mada?
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
kwahiyo kwa ujumla yote hayo,
ni kwamba nyote mna nimani haba, lakini pia hamuaniani kabisa? right?

Jibu ni moja tu, Amini Mungu 🐒

🐒
 
Back
Top Bottom