Kwa yanayoendelea CHADEMA, na suala la Abdul bado mnaamini saini kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee ilifojiwa?

Kwa yanayoendelea CHADEMA, na suala la Abdul bado mnaamini saini kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee ilifojiwa?

Mnyika na Mbowe walihusika kwa asilimia 100, hakuna saini iliyokuwa forged, baraka za Mbowe zilitolewa.N

Mke wa Naibu Katibu Mkuu bara Kamanda Benson Kigaila ni mmoja wa wabunge wa Covid 19.

Mzazi mwenza na demu wa muda wote wa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar ambaye ni Esther Matiko ni mbunge wa Covid 19.

Kisha utasema eti kuna uwajibikaji hapo. Hao Viongozi wa Chadema ambao wake zao walisaliti Chadema walipaswa kujiudhuru kuonyesha uwajibikaji. Ila ndio kwanza wanakula nao posho za Ubunge.
Nami naunga MKONO HOJA tena nahisi aliyesaini na kuandaa hizo minutes za kikao kwa niaba ya CC ni huyo cha Ujanja Kigaila..nadhani Lissu ameamua kufunua kapeti yenye UOZO na inaonekana amejipanga...amewatupia hili kombola la ABDUL ngoja wahangaike nalo,kabla hajatupa jingine ..WATAIBIKA
 
Tuacheni unafiki, ni nani angeikataa pesa kwa malipo ya kuanguka Saini na kugonga muhuri tu?? Binafsi ningeichukua vinginevyo hujui duniani umekuja kwaajili ya nini.
Selfish and low thinking altogether
 
Selfish and low thinking altogether
Natamani siku Moja watoto wako wapokee Hela mahala alafu wakuuze. Na kwa ufahamu wako nadhani utawashukuru na kuwasifu, maana wanajua kilichowaleta Duniani.
 
Inaumiza sana, hiki chama sisi wafuasi na wanachama tuliamini ndio mkombozi pekee aliyebaki kutuvusha watanganyika. Toka tukiwa vyuoni tume risk maisha yetu kwa kuwa wafuasi wa chama huku maofisini kuna watu nawafahamu wameachishwa kazi sababu ya kuwa wafuasi wa CDM, leo hii tunapokuja kuona kumbe na wao ni ganga njaa inaumiza sana. Itoshe kusema CCM watatawala hii nchi kwa miaka mingi mbele labda utokee muujiza toka Mbinguni ccm ife bila hivyo hakuna wa kukitoa.
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.
Mkuu Krime, Crimea , hii
ndio naiona leo CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? Na CHADEMA kuna kirusi! Je, unajua kirusi hiki ni nani?! Na the motive behind?
Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
Hili niliuliza humu Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?
P
 
..hakuna KIKAO kilichowapitisha, ndio maana wakafukuzwa.

..kugushi ni pamoja na kuidhinisha jambo ambalo ni kinyume na sheria au taratibu.

..kwa hiyo kama kuna kiongozi alisaini covid19 waende bungeni basi aligushi kwasababu alifanya hivyo bila kuelekezwa na kikao halali.
Kuna mtu kauliza, kwanini hakwenda kushitaki forgery?
 
Mbowe hajang'ang'ania madaraka
Kang'ang'ania ndio maana alitumia ushawishi wake kuondoa ukomo wa madaraka, ambapo viongozi wengi walio mchallage CDM kwenye suala la uwenyekiti waliishia kufukuzwa au Dola kuwaondoa Ili kumlindia kiti chake TISS mkuu wa upinzani.
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.

Paschal week hii umeamua, very thoughtful subject and content!
 
Mnyika na Mbowe walihusika kwa asilimia 100, hakuna saini iliyokuwa forged, baraka za Mbowe zilitolewa.
Unayosema yana mashiko.

Kama sahihi zao zilighushiwa, tungeliona wanauza sura kwenye viunga vya mahakama kwenda kushitaki, lakini kimyaaaa, mpaka kesho!
 
Kila chama kina mapungufu yake, haya ya CHADEMA yana nafuu kubwa kuliko kwingineko
wengine hata uchaguzi hawana Mwenyekiti huteua na kutengua muda wowote.
 
kwahiyo kwa ujumla yote hayo,
ni kwamba nyote mna nimani haba, lakini pia hamuaniani kabisa? right?

Jibu ni moja tu, Amini Mungu 🐒

🐒
Bosi tulia basi kwanza, unaonekana una hoja nzuri lakini umekosa utulivu kwenye kuandika. Binafsi sijapata muunganiko wenye kuleta maana kwa namna ulivyowasilisha maoni yako.
 
Bosi tulia basi kwanza, unaonekana una hoja nzuri lakini umekosa utulivu kwenye kuandika. Binafsi sijapata muunganiko wenye kuleta maana kwa namna ulivyowasilisha maoni yako.
Legeza mindset yako gentleman, ni rahisi mno kuelewa jambo hili 🐒
 
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.

Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe kung'ang'ania madarakani ukijumlisha na suala la Abdul kuambatana na kiongozi mkubwa ndani ya chadema kupeleka fuko la hela kwa Lisu unaona kabisa Mbowe si tu kwamba anatumika na ccm ila pia anaweza kununuliwa muda wowote.

Tuliambiwa sain za kwenye barua ya kuwaidhinisha kina Mdee kuwa wabunge wa viti maalumu ilifojiwa. Lakini kwa haya yanayoendelea pale chadema Naamini ile barua haikufojiwa bali ili toka kwa kiongozi mkubwa probably Mbowe kwa maslahi yake.
Kwa kweli sasa tushajua chair aliwazunguka wenzake.🤣🤣🤣🤣
 
Unayosema yana mashiko.

Kama sahihi zao zilighushiwa, tungeliona wanauza sura kwenye viunga vya mahakama kwenda kushitaki, lakini kimyaaaa, mpaka kesho!
Hakuna aliyeenda shitaki mahakamani kwamba saini zimefojiwa, mahakamani ilienda kesi ya uanachama wa covid 19 na sio kesi ya jinai ya kufoji.

Kigaila Mke wake ni Covid 19, its not a concidence.
 
Back
Top Bottom