Kwa yanayoendelea, napoteza imani na Idara ya Usalama wa Taifa, napoteza imani na CCM kama inaweza kutuvusha kiuchumi na kimaendeleo. Uzalendo hamna

Una roho ngumu sana. Mpaka leo ulikuwa bado una imani?
 

Asante sana umeusoma mpango mzima. Walituambia kuwa bwawa la Nyerere ndio suluhiso la kuwa na umeme usio katika. Zimemmwagika hela za kutisha pale. Ghafla tena umeme hakuna tununue vichwa vya diseli. Kuna ujinga unaendelea mkubwa sana.
 
.... .Rais kama hashiriki mpango huu dhalimu, ampige chini Kadogosa mara moja, achunguzwe na Polisi, Takukuru na idara ya usalama wa taifa.

Akipatikana na hatia afikishwe mahakamani mara moja
Unawezaje kuidhinishiwa kulipia hata kichwa dusko cha Treni bila wino wa rais?

Mnadhani mama anavyoshukuriwa kuwa katoa hela inakuwaje? Ana mwaga wino
 
Nimeshamgazwa mno kusikia taarifa kama hizi.
Hii nchi itapiga mark time sana iwapo tuna viongozi wenye mtizamo kama huo.
Ukiona hivyo tayari akina Rosti Tamu wameshachukua zabuni na hata ukipiga kelele vipi hakuna kitakachobadilika.
Sidhani kama usalama wa Taifa wanajihusisha na mambo ya uhujumu uchumi unaofanywa kwenye ngazi za juu.
 
Kwani huo mradi wa Sgr ni wa Kadogosa?kwamba unahisi mahamuzi yote ni kwa amri yake au?!
 
Sema tu idara ni corrupt ndio maana wanasiasa wanajipenyeza na kufanya watakavyo

Idara ingekuwa na 70% angalau watu waadilifu tungekuwa mbali Kama Taifa

Ila kwa sasa tupo kwenye corrupt system state!! Ndio maana unaona haya unayoyaona
 
Sema tu idara ni corrupt ndio maana wanasiasa wanajipenyeza na kufanya watakavyo

Idara ingekuwa na 70% angalau watu waadilifu tungekuwa mbali Kama Taifa

Ila kwa sasa tupo kwenye corrupt system state!! Ndio maana unaona haya unayoyaona
NI aibu hata kujitambumbulisha kwamba wewe ni Mtanzania.
 
Ili tuendelee tunahitaji sheria kali kama za China Japan South Korea na Nchi kama hizo !
 
Asante sana umeusoma mpango mzima. Walituambia kuwa bwawa la Nyerere ndio suluhiso la kuwa na umeme usio katika. Zimemmwagika hela za kutisha pale. Ghafla tena umeme hakuna tununue vichwa vya diseli. Kuna ujinga unaendelea mkubwa sana.
Wachina na majirani zao hawakuwa wajinga kutunga Sheria kali za uhujumu Uchumi !
Demokrasia za Wazungu kwetu sisi hazitufai !
Wametuletea ili tuzidi kudidimia na wao wazidi kuneemeka na Utajiri wa mali ghafi za Nchi zetu !!
 
Tatizo ni kama budgets zinapwaya kwenye kuutwa ukuu lazima tule majani Ili wenzetu wapate haja ya mioyo Yao...Ningekuwa Mimi ningerejesha utawala wakifalme, hizi chaguzi za kisanii Mungu mwenyewe anaona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…