DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ni sawa unaiset bunduki uku barrel umejielekezea alafu risasi zipowatu wana roho mbaya watu wabaya achana kabisa na kitu kinaitwa mke wa mtu unawezw kupoteza muelekeo wako wa maisha kwa sababu ya mke wa mtu unaweza kufa kabisa achana......
najua siku hiz wake za watu ni maji ya mbeya ila usije kusubutu utakufa
Pole mkuu kwa kuliwa mkeoWakuu hapa Dunian hakuna Cha mke wa Mtu Cha msingi ni kutafta Pesa tu.
Bravo team: I repeat Man Down!Man down
Aisee kama namuona vile, ebu tuwekee picha yake kwanza tuthibitisheWakuu hapa Dunian hakuna Cha mke wa Mtu Cha msingi ni kutafta Pesa tu
Anaamka 05:00 Am anaacha kachota ndoo kumi za maji kwa Ajili ya mke wake. Then Anaenda katika harakati za kuuza Vyombo vya kupikia na kurudi 07:00Pm
Watoto anawataftia chakula Cha kushiba ila yote haya kashindwa kuyaona Mama huyu na kumsaliti Mmewe mpambanaji wa Kweli it very pain .
Anastress za kuliwa MKE wake anadhan wote wako hivyoKwa sample ya mtu mmoja tu umeshaanzisha mada kukashifu wanawake wake za watu wote???
Hana akili huyo jamaaAnastress za kuliwa MKE wake anadhan wote wako hivyo