Kwa yanayoendelea nimeamini Duniani hakuna mke wa Mtu

Kwa yanayoendelea nimeamini Duniani hakuna mke wa Mtu

Kuna 'Vituz' bado hujaona Mtoa post. Kaa kwa kutulia hivyo hivyo.
 
Nilikuwa napenda nipate mda niitizame series ya BREAKING BAD na nimeikata yote nikaja gundua kuwa dunia haina usawa hata siku moja na hilo neno "karma" usije ukalitumia sana mana halina uhakika wowote.

Kikubwa ni kumtegemea Mungu akupe amani ya moyo.
Yup, hamna kitu kama karma...
 
shida unazitaka weye mwanamke mturoge tu! km mnatupenda ! tena sisi ni rahisi sana kurogeka akisha zaa!! watoto team ya kutosha mfungue achague YEYE sasa akae alee wanae au akapuyange!
 
Watu wana roho mbaya watu wabaya achana kabisa na kitu kinaitwa mke wa mtu unawezw kupoteza muelekeo wako wa maisha kwa sababu ya mke wa mtu unaweza kufa kabisa achana......

Najua siku hiz wake za watu ni maji ya mbeya ila usije kusubutu utakufa
Tupe kisa mkuu.

Mimi alinitamani akawa kumbe kila siku anataman nimuanze, mm kwake ni kama bosi wake mdgmdgo. Japo kina ma nig Boss. Siku Moja nikaona mmh hivi Kwa nn huyu mwanamke ananidhamu Sana kwangu???

Hembu tuonane sehemu tupate kinywaji. Ikawa hivyo ikaenda ikaenda anakula bia. Baaana weeee siku Moja nikala mate... Mara siku nyingine akaja na kondomu mm Mzee nikala kimya...

Siku Moja nikaona sitaki ubwege. Numamvutia sehemu. Mwanamke anamwaga squirt Ile maji mengi.


Siku zikasonga baaana weeee siakaanza kunipa Hadith za matatizo ya mumewe....

Wanawake waleviii Kaa nao mbali, awe ana MTU awe Hana.. nimebadili Namba Sina habari naye
 
Back
Top Bottom