Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema kuhusu kulazimishwa mtazamo?Nani kasema hilo.. mbna post ipo wazi kuna msismamo ulilazimishwa hapo?!
Inagoma mkuuFungua via browser
Kama wanavishwa Tshirt, kofia na suruali vitenge na vilemba kila baada ya miaka mitano unategemea watajitambua kweli?Sina la kuongeza...😑
Nimefanya generalization ipi hapo? Inaonyesha mkuu hata hukuelewa nilichoandika ila ukafanya haraka....Hii generalization uliyofanya hapa ukimanisha nini??
"Tatizo ni kuamini kwamba watanzania wote wana mtazamo mmoja kuhusu kuhusiana na hili jambo."
Kuna mtu amekulazimisha kuwa na mtazamo mmoja sawa na wengine?Tatizo ni kuamini kwamba watanzania wote wana mtazamo mmoja kuhusiana na hili jambo.
Tatizo ni kwamba wanaojitambua wanataka kuwa wao ni watizamaji tu kama mashabiki halafu wanataka wale wasiojitambua ndio wachukue hatua kivitendo wanasahau kwamba wale hawajitambui.Kama wanavishwa Tshirt, kofia na suruali vitenge na vilemba kila baada ya miaka mitano unategemea watajitambua kweli?
Nani kuzungumzia kuhusu kulazimishwa hapa?Kuna mtu amekulazimisha kuwa na mtazamo mmoja sawa na wengine?