Kwa yanayoendelea, picha inaongea

Kwa yanayoendelea, picha inaongea

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Chui.PNG

Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
 
Hii generalization uliyofanya hapa ukimanisha nini??

"Tatizo ni kuamini kwamba watanzania wote wana mtazamo mmoja kuhusu kuhusiana na hili jambo."
Nimefanya generalization ipi hapo? Inaonyesha mkuu hata hukuelewa nilichoandika ila ukafanya haraka....
 
Kama wanavishwa Tshirt, kofia na suruali vitenge na vilemba kila baada ya miaka mitano unategemea watajitambua kweli?
Tatizo ni kwamba wanaojitambua wanataka kuwa wao ni watizamaji tu kama mashabiki halafu wanataka wale wasiojitambua ndio wachukue hatua kivitendo wanasahau kwamba wale hawajitambui.
 
Aisee hii dunia ni kama tunarudi nyuma.
Yaani kupost tu unaogopa je, wale Wazimbabwe na wale wa MSUMBIJI waluopigania uhuru wao kwa damu wangekuwa waoga si mpaka leo wangekuwa wanatawaliwa.
 
Back
Top Bottom