Kwa yanayomkuta Macon greenwood wa man utd.Ulaya kula kinyama ni ngumu sana.

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Nimepitia mitandaoni. Pamoja na talent yake mchezaji kinda wa Man utd ana Hali mby Sana.

Makampuni yanajitoa na kuapia kutojihusisha na mwingereza huyo mshambuliaji wa united.

Kwa hali hiyo Ulaya kula kinyama hicho ikiwa hujaoa ni ngumu sana. Na hata kama umeoa mkuu uache yeye(mchuchu)atake mwenyewe
 
Sio tu ukiwa hujaoa
Hata ukiwa umeoa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mmh sijaelewa kabisa, kinyama ndo nin sijui
 
Habari inahusu nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…