Kwa yanayotokea nammiss Kikwete!

Kwa yanayotokea nammiss Kikwete!

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
At least yeye ni Rais pekee aliyeweza kuonesha nafasi adhimu ya Tanzania katika kuhakikisha kwa majirani na rafiki zetu kuna amani.

Mwaka 2012 wakati kikundi cha M23 wanaleta fyoko fyoko Congo, aliwaonesha M23 na wafadhili wao Rwanda, nini nafasi ya Tanzania katika kuhakikisha marafiki zake wanakuwa salama.

Hakuishia Congo tu! Wakati wa jaribio la mapinduzi nchini Comoro, aliweza kuonyesha tena nafasi hiyo ya Tanzania.

Ni bahati mbaya sana alifanya hivyo kwa pride tu na roho nzuri, as hakufanya hivyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi kwa Tanzania. Endapo angefanya yale kama mkopo leo hii hizi nchi zingekuwa zinalipa mabilioni ya fedha kwa Tanzania ambayo tungeyatumia kwa shughuli zetu za kimaendeleo.

Nawamiss sana Viongozi wa JWTZ kipindi cha Kikwete waliosimamia mission hizi tukufu! Gen. Mwamunyange, Lt. Gen Shimbo, Lt. Gen. Paul Ignace Mella na kwa wakati ule Brig. Gen. Mwakibolwa

I truly miss the glory days of Tanzania! I truly miss the glory days of my army JWTZ

Angalizo tu! Kuongelea dialogue na Kagame ni kuzidi kumpa kichwa. Kupitia hiyo Dialogue anaenda kutimiza azma yake ya kuimega Congo na akifanikiwa kituo kinachofuata ni Tanzania.

Bring Back the glory days of Tanzania 💪
 
1738119790458.png
 
Kwamba kituo kinachofuata Tanzania?

Kagame hawezi kuua hata kuku Tanzania

Tutampiga Kama mbwa Koko mvimbisheni kichwa tu ajae kwenye 18.
Kwa wanavyomuendekeza saivi. Ndo anapata kichwa
 
Nani atafund Sasa ? Kodi zetu? hiyo ishu ilitakiwa umoja wa Africa uisimamie.... Sisi sio matajiri kihiiiivo eti huwezi kusaidia watu wooooote kwenye ukoo.... Halafu Kagame kama mwanaume aje atest mitambo Tz ajue chuma inasoma mnara ama laa... Atakachokutana nacho atasimulia vitukuu wa vitukuu...
 
Nani atafund Sasa ? Kodi zetu? hiyo ishu ilitakiwa umoja wa Africa uisimamie.... Sisi sio matajiri kihiiiivo eti huwezi kusaidia watu wooooote kwenye ukoo.... Halafu Kagame kama mwanaume aje atest mitambo Tz ajue chuma inasoma mnara ama laa... Atakachokutana nacho atasimulia vitukuu wa vitukuu...
Andaeni a proposal agreement of Military Aid in terms of long term loan ipelekeni DRC.

Nani kakwambia hawana pesa?
 
At least yeye ni Rais pekee aliyeweza kuonesha nafasi adhimu ya Tanzania katika kuhakikisha kwa majirani na rafiki zetu kuna amani.

Kipindi M23 wanaleta fyoko fyoko Congo, aliwaonesha M23 na wafadhili wao Rwanda, nini nafasi ya Tanzania katika kuhakikisha marafiki zake wanakuwa salama.

Hakuishia Congo tu! Wakati wa jaribio la mapinduzi nchini Comoro, aliweza kuonyesha tena nafasi hiyo ya Tanzania.

Ni bahati mbaya sana alifanya hivyo kwa pride tu na roho nzuri, as hakufanya hivyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi kwa Tanzania. Endapo angefanya yale kama mkopo leo hii hizi nchi zingekuwa zinalipa mabilioni ya fedha kwa Tanzania ambayo tungeyatumia kwa shughuli zetu za kimaendeleo.

Nawamiss sana Viongozi wa JWTZ kipindi cha Kikwete waliosimamia mission hizi tukufu! Gen. Mwamunyange, Lt. Gen Shimbo, Lt. Gen. Paul Ignace Mella na kwa wakati ule Brig. Gen. Mwakibolwa

I truly miss the glory days of Tanzania! I truly miss the glory days of my army JWTZ

Angalizo tu! Kuongelea dialogue na Kagame ni kuzidi kumpa kichwa. Kupitia hiyo Dialogue anaenda kutimiza azma yake ya kuimega Congo na akifanikiwa kituo kinachofuata ni Tanzania.

Bring Back the glory days of Tanzania 💪
Ila kuna tofauti ndogo ujue kati ya hawa wawili
 
Anajua tu vizuri akiigusa Tz ndo mwisho wa utawala wake,
Kwa mnavyomlea huku. Siku si nyingi atafika. Nyie huku si mmeamia ku invest kwenye machawa na wasanii badala ya Mambo ya msingi. Tumeona na yajayo yanafurahisha zaidi.
 
At least yeye ni Rais pekee aliyeweza kuonesha nafasi adhimu ya Tanzania katika kuhakikisha kwa majirani na rafiki zetu kuna amani.

Kipindi M23 wanaleta fyoko fyoko Congo, aliwaonesha M23 na wafadhili wao Rwanda, nini nafasi ya Tanzania katika kuhakikisha marafiki zake wanakuwa salama.

Hakuishia Congo tu! Wakati wa jaribio la mapinduzi nchini Comoro, aliweza kuonyesha tena nafasi hiyo ya Tanzania.

Ni bahati mbaya sana alifanya hivyo kwa pride tu na roho nzuri, as hakufanya hivyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi kwa Tanzania. Endapo angefanya yale kama mkopo leo hii hizi nchi zingekuwa zinalipa mabilioni ya fedha kwa Tanzania ambayo tungeyatumia kwa shughuli zetu za kimaendeleo.

Nawamiss sana Viongozi wa JWTZ kipindi cha Kikwete waliosimamia mission hizi tukufu! Gen. Mwamunyange, Lt. Gen Shimbo, Lt. Gen. Paul Ignace Mella na kwa wakati ule Brig. Gen. Mwakibolwa

I truly miss the glory days of Tanzania! I truly miss the glory days of my army JWTZ

Angalizo tu! Kuongelea dialogue na Kagame ni kuzidi kumpa kichwa. Kupitia hiyo Dialogue anaenda kutimiza azma yake ya kuimega Congo na akifanikiwa kituo kinachofuata ni Tanzania.

Bring Back the glory days of Tanzania 💪
Ni upuuzi kutumia Rasilimali zako kusaidia wapumbavu walioshindwa kujitawala,waachiwe wauane akili zitawajia.

Mambo hayo yasiyo na tija aliyafanya sana Nyerere lakini hakuna tulichopata.
 
At least yeye ni Rais pekee aliyeweza kuonesha nafasi adhimu ya Tanzania katika kuhakikisha kwa majirani na rafiki zetu kuna amani.

Kipindi M23 wanaleta fyoko fyoko Congo, aliwaonesha M23 na wafadhili wao Rwanda, nini nafasi ya Tanzania katika kuhakikisha marafiki zake wanakuwa salama.

Hakuishia Congo tu! Wakati wa jaribio la mapinduzi nchini Comoro, aliweza kuonyesha tena nafasi hiyo ya Tanzania.

Ni bahati mbaya sana alifanya hivyo kwa pride tu na roho nzuri, as hakufanya hivyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi kwa Tanzania. Endapo angefanya yale kama mkopo leo hii hizi nchi zingekuwa zinalipa mabilioni ya fedha kwa Tanzania ambayo tungeyatumia kwa shughuli zetu za kimaendeleo.

Nawamiss sana Viongozi wa JWTZ kipindi cha Kikwete waliosimamia mission hizi tukufu! Gen. Mwamunyange, Lt. Gen Shimbo, Lt. Gen. Paul Ignace Mella na kwa wakati ule Brig. Gen. Mwakibolwa

I truly miss the glory days of Tanzania! I truly miss the glory days of my army JWTZ

Angalizo tu! Kuongelea dialogue na Kagame ni kuzidi kumpa kichwa. Kupitia hiyo Dialogue anaenda kutimiza azma yake ya kuimega Congo na akifanikiwa kituo kinachofuata ni Tanzania.

Bring Back the glory days of Tanzania 💪
Mkuu Lord Denning, nimeelewa maana ya unachokisema kuhusu Tanzania kupeleka jeshi lake Congo ili kuwazima waasi wa M23 au hao wanaowasaidia.
Ni kweli,ili Tanzania inufaike katika mnyororo wa biashara na uchumi na Congo DRC utategemea zaidi utulivu na hali ya amani ndani ya Congo na nchi jirani zake.
Hata hivyo kwa hali ilivyo siyo rahisi kwa Tanzania kuingilia kijeshi waziwazi kuisaidia DRC kulingana na siasa zetu za Africa mashariki zilivyo. Kama Tanzania itaingilia ,iwe kwa makubalino na masharti ya Congo kugharimia kwa namna fulani baadaye....lazima hayo makubaliano yatakuwa ya siri,na jeshi la Tanzania halitaingia kwa uwazi.
Tanzania iliingia kwa uwazi kipindi cha Jakaya kwa mara ya kwanza huko Congo na kuwakimbiza M23,lakini ilikuwa ni kwa mgongo wa azimio la AU. Japo huo uamuzi wa Tanzania kukubali kupeleka jeshi Congo ukafanya Kagame amkasirikie Jakaya.
Lakini hili ulilosema kwamba Kagame akichekewa,mwishowe atavamia Tanzania ni jambo la kufikirika sana kuliko hali halisi.
Pengine watu wengi hawaelewi jambo moja, jeshi la Rwanda la sasa kimsingi limetokana na kile kikosi cha waasi cha RPF ambacho wanachama wake wote walikuwa katika jeshi la Uganda. Wanachama wote wa RPF pamoja na Kagame walikuwa katika kikundi cha waasi kilichoongozwa na Yoweri Museveni,NRM ambacho kilipewa mafunzo ya kijeshi na JWTZ na baadaye kujumuishwa katika jeshi la Tanzania kuisaidia Msumbiji na baadaye katika vita ya Kagera.
Fred Rugyema na akina Kagame ..na kama ilivyo kwa waanzilishi wa RPF kule Uganda, wote walikuwa ni zao la wakimbizi toka Rwanda waliongia Uganda na wazazi wao wakiwa wadogo. Rugyema na Kagame mathalan,walikuwa na miaka 2 tu...huku wengi katika RPF walizaliwa na kukulia Uganda.
Baada ya kuingia maarakani mwaka 1986, Museveni akatimiza ahadi ya kugharimia akina Rugyema kuanzisha RPF ili kikaiondoe serikali ya Rwanda madarakani.
Nnachotaka kusema hapa ni kwamba jeshi la Uganda kwa kila kitu ni zao la JWTZ,kama ilivyo hata kwa jeshi la Rwanda na M23 yenyewe. Nyimbo za kuhamasisha wakati wa mafunzo jeshini zinzoimbwa na majeshi ya Rwanda,M23 na Uganda ndo hizo hizo walizofundishwa na JWTZ....wanaimba kwa kiswahili japo hawakielewi.
Kwa muundo huu, pamoja na masuala mengine...jeshi la Kagame ni mtoto mdogo sana kufikiria kuipiga Tanzania.
Ila kama ulivyosema, na umeeleaeka kwamba ni muhimu mno wachokozi eneo hilo wakatulizwa. Lakini kwa uwazi....,no way.
Kuna jambo jingine. Wananchi wa Congo DRC wanapeleka shutuma zao kusikostahili...,wameshambulia balozi za Rwanda,America,Ufaransa,South Africa na Kenya kwamba jumuia ya kimataifa inakaa kimya wakati nchi yao inavamiwa. Wananchi walitakiwa kuonesha hasira kwa serikali yao kwamba imeshindwa kutimiza jukumu lake la kulinda mipaka ya nchi
 
Back
Top Bottom