Kwa yanayotokea nammiss Kikwete!

Kwa yanayotokea nammiss Kikwete!

Mkuu Lord Denning, nimeelewa maana ya unachokisema kuhusu Tanzania kupeleka jeshi lake Congo ili kuwazima waasi wa M23 au hao wanaowasaidia.
Ni kweli,ili Tanzania inufaike katika mnyororo wa biashara na uchumi na Congo DRC utategemea zaidi utulivu na hali ya amani ndani ya Congo na nchi jirani zake.
Hata hivyo kwa hali ilivyo siyo rahisi kwa Tanzania kuingilia kijeshi waziwazi kuisaidia DRC kulingana na siasa zetu za Africa mashariki zilivyo. Kama Tanzania itaingilia ,iwe kwa makubalino na masharti ya Congo kugharimia kwa namna fulani baadaye....lazima hayo makubaliano yatakuwa ya siri,na jeshi la Tanzania halitaingia kwa uwazi.
Tanzania iliingia kwa uwazi kipindi cha Jakaya kwa mara ya kwanza huko Congo na kuwakimbiza M23,lakini ilikuwa ni kwa mgongo wa azimio la AU. Japo huo uamuzi wa Tanzania kukubali kupeleka jeshi Congo ukafanya Kagame amkasirikie Jakaya.
Lakini hili ulilosema kwamba Kagame akichekewa,mwishowe atavamia Tanzania ni jambo la kufikirika sana kuliko hali halisi.
Pengine watu wengi hawaelewi jambo moja, jeshi la Rwanda la sasa kimsingi limetokana na kile kikosi cha waasi cha RPF ambacho wanachama wake wote walikuwa katika jeshi la Uganda. Wanachama wote wa RPF pamoja na Kagame walikuwa katika kikundi cha waasi kilichoongozwa na Yoweri Museveni,NRM ambacho kilipewa mafunzo ya kijeshi na JWTZ na baadaye kujumuishwa katika jeshi la Tanzania kuisaidia Msumbiji na baadaye katika vita ya Kagera.
Fred Rugyema na akina Kagame ..na kama ilivyo kwa waanzilishi wa RPF kule Uganda, wote walikuwa ni zao la wakimbizi toka Rwanda waliongia Uganda na wazazi wao wakiwa wadogo. Rugyema na Kagame mathalan,walikuwa na miaka 2 tu...huku wengi katika RPF walizaliwa na kukulia Uganda.
Baada ya kuingia maarakani mwaka 1986, Museveni akatimiza ahadi ya kugharimia akina Rugyema kuanzisha RPF ili kikaiondoe serikali ya Rwanda madarakani.
Nnachotaka kusema hapa ni kwamba jeshi la Uganda kwa kila kitu ni zao la JWTZ,kama ilivyo hata kwa jeshi la Rwanda na M23 yenyewe. Nyimbo za kuhamasisha wakati wa mafunzo jeshini zinzoimbwa na majeshi ya Rwanda,M23 na Uganda ndo hizo hizo walizofundishwa na JWTZ....wanaimba kwa kiswahili japo hawakielewi.
Kwa muundo huu, pamoja na masuala mengine...jeshi la Kagame ni mtoto mdogo sana kufikiria kuipiga Tanzania.
Ila kama ulivyosema, na umeeleaeka kwamba ni muhimu mno wachokozi eneo hilo wakatulizwa. Lakini kwa uwazi....,no way.
Nimekuelewa sana.

My point here ni kwamba, it's high time kwa Tanzania kubadili sera yetu ya Mambo ya Nje hasa kwenye eneo la engagement zetu za maeneo ya migogoro. Inawezekana mwanzoni tulikuwa tunaingia kwa nia za kusaidia au baada ya resolutions za UN au AU ila kwa sasa tuanze kuingia kwa maslahi yetu ya kiuchumi.

The goal of Kagame and Museveni ambao umekiri pia ni mazao yetu ni to put a lot of pressure by all means possible ili yale maeneo baadae yajitenge na kuwa annexed kama sehemu ya mataifa yao.

Contrary to 2012 ambapo kulikuwa na viongozi wanaojua hii migogoro vizuri na kufanya maamuzi ambapo nia zao hizo hazikutimia ila saivi wanaonekana wako determined kweli na kwa namna dunia inavyowabembeleza it's seems they are going to achieve this goal.

Congo kwa sasa ni kama ameachwa. Hakuna anayemsaidia kweli. Na it's obvious anahitaji sana msaada saivi kuliko wakati wowote ule.

Swali ni Je hatulioni hili kama fursa? Kwa nini tusiitumie hii kama fursa rasmi? Alafu kumbuka if we do it in Congo today tutakuwa tumefanikiwa ku set a very good precedent na kesho mwingine akiwa na shida atakuja kutu engage na pia tutamsaidia on the same terms za kuangalia maslahi ya kiuchumi.

Ni bahati mbaya sana saivi Viongozi wetu wanaangalia maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa ila if ningekuwa Rais wa Tanzania leo mpaka muda huu ningekuwa nimesha saini makubaliano na Rais wa Congo na vijana wangu wapo kazini tena kwa Tangazo la wazi.

Congo anachokosa ni support ya uhakika kwenye kupambana na ule uharamia ila when it comes to fedha, anazo za kutosha sana.

Saivi Congo analipa vikosi binafsi kutoa ulinzi kwenye maeneo yake. What if hizo hela zote angetulipa sisi tukaweka Military Base zetu hata mbili kule Mashariki mwa Congo na vifaa vya uhakika?


Unadhani tukifanya hivi na wananchi wa Congo wakaona na waka experience matunda yake, Kesho wawekezaji wetu watakuwa na influence kiasi gani nchini Congo?

Niliandika uzi jana kuuliza kuhusu ni kina nani Think Tanks wetu?

Niseme ukweli, umaskini wa Tanzania ni wa kujitakia maana fursa zipo kibao ila tunaongozwa na vilaza ambao hawawezi kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
 
Umesahau mwaka jana dereva wa roli la mizigo alimuua dereva wa basi la mtei na mtazania? Mlifanyaje?
Leo Naibu Waziri Mkuu mmeweka mtu wao. Kesho wakija kudai tulikuwa tunapata nafasi za juu za maamuzi kwa nini mnatutenga mtasemaje?

Haya mambo CCM kutokana na kuendekeza vilaza hawayaoni na wanayachukulia kiwepesi sana, ila siku yakianza kufumuka ndo wataelewa walivyo washenzi na hawakustahili kuendelea kuongoza hii nchi.
 
Leo Naibu Waziri Mkuu mmeweka mtu wao. Kesho wakija kudai tulikuwa tunapata nafasi za juu za maamuzi kwa nini mnatutenga mtasemaje?

Haya mambo CCM kutokana na kuendekeza vilaza hawayaoni na wanayachukulia kiwepesi sana, ila siku yakianza kufumuka ndo wataelewa walivyo washenzi na hawakustahili kuendelea kuongoza hii nchi.
CCM ukweli imekoswa watu wenye akili na hii kuendekeza uchawa hata kwenye mambo ya msingi.
Mfano mdogo mtu mwenye miaka 76 anastaafu kazi halafu wa miaka80 ndo anateuliwa huoni hapa tunaongozwa na watu ajabu sana
 
Huyo jamaa alikuwa na mgongano wa kimaslahi na hao majamaa uliopelekea kuliza kosasi
 
Kwamba kituo kinachofuata Tanzania?

Kagame hawezi kuua hata kuku Tanzania

Tutampiga Kama mbwa Koko mvimbisheni kichwa tu ajae kwenye 18.
Akijaa kwenye 18.. wanaomsifia wanakaa pembeni.. kichapo anachezea mwenyewe, mke, watoto na mama yake kama anae
 
CCM ukweli imekoswa watu wenye akili na hii kuendekeza uchawa hata kwenye mambo ya msingi.
Mfano mdogo mtu mwenye miaka 76 anastaafu kazi halafu wa miaka80 ndo anateuliwa huoni hapa tunaongozwa na watu ajabu sana
Tunaosema CCM inapaswa kupumzishwa tunaelewa tuna maanisha nini?

Huko kwenye Taasisi nyeti naskia saivi nchi yetu imeshapenyezewa mamluki wa nchi jirani kibao. Wanapata taarifa karibu zote za siri kwa sababu ya CCM kuishiwa mbinu na saivi imekuwa zoazoa tu! Wakiona mtu anawasifia tu wanampa cheo sehemu.
 
Kwamba kituo kinachofuata Tanzania?

Kagame hawezi kuua hata kuku Tanzania

Tutampiga Kama mbwa Koko mvimbisheni kichwa tu ajae kwenye 18.
Sidhani Kama anaweza kuja kichwa kichwa, ila anaweza kumanipulate mfumo! Na ikiwa simple!!! 😅😅 Tuscan mfumo wetu kwanza
 
Nimekuelewa sana.

My point here ni kwamba, it's high time kwa Tanzania kubadili sera yetu ya Mambo ya Nje hasa kwenye eneo la engagement zetu za maeneo ya migogoro. Inawezekana mwanzoni tulikuwa tunaingia kwa nia za kusaidia au baada ya resolutions za UN au AU ila kwa sasa tuanze kuingia kwa maslahi yetu ya kiuchumi.

The goal of Kagame and Museveni ambao umekiri pia ni mazao yetu ni to put a lot of pressure by all means possible ili yale maeneo baadae yajitenge na kuwa annexed kama sehemu ya mataifa yao.

Contrary to 2012 ambapo kulikuwa na viongozi wanaojua hii migogoro vizuri na kufanya maamuzi ambapo nia zao hizo hazikutimia ila saivi wanaonekana wako determined kweli na kwa namna dunia inavyowabembeleza it's seems they are going to achieve this goal.

Congo kwa sasa ni kama ameachwa. Hakuna anayemsaidia kweli. Na it's obvious anahitaji sana msaada saivi kuliko wakati wowote ule.

Swali ni Je hatulioni hili kama fursa? Kwa nini tusiitumie hii kama fursa rasmi? Alafu kumbuka if we do it in Congo today tutakuwa tumefanikiwa ku set a very good precedent na kesho mwingine akiwa na shida atakuja kutu engage na pia tutamsaidia on the same terms za kuangalia maslahi ya kiuchumi.

Ni bahati mbaya sana saivi Viongozi wetu wanaangalia maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa ila if ningekuwa Rais wa Tanzania leo mpaka muda huu ningekuwa nimesha saini makubaliano na Rais wa Congo na vijana wangu wapo kazini tena kwa Tangazo la wazi.

Congo anachokosa ni support ya uhakika kwenye kupambana na ule uharamia ila when it comes to fedha, anazo za kutosha sana.

Saivi Congo analipa vikosi binafsi kutoa ulinzi kwenye maeneo yake. What if hizo hela zote angetulipa sisi tukaweka Military Base zetu hata mbili kule Mashariki mwa Congo na vifaa vya uhakika?


Unadhani tukifanya hivi na wananchi wa Congo wakaona na waka experience matunda yake, Kesho wawekezaji wetu watakuwa na influence kiasi gani nchini Congo?

Niliandika uzi jana kuuliza kuhusu ni kina nani Think Tanks wetu?

Niseme ukweli, umaskini wa Tanzania ni wa kujitakia maana fursa zipo kibao ila tunaongozwa na vilaza ambao hawawezi kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
Think Tank???? Hatupewi ajira wanapewa ajira wenye pesa
 
Umeeleza vizuri sana, serikali ya drc haipo serious
They are desperate. The don't have leadership but they have resources and money.

It's high time to chip in! Sio tu kwa sababu wanahitaji msaada ila kwa faida zetu kiuchumi miaka mingi inayokuja.
 
At least yeye ni Rais pekee aliyeweza kuonesha nafasi adhimu ya Tanzania katika kuhakikisha kwa majirani na rafiki zetu kuna amani.

Mwaka 2012 wakati kikundi cha M23 wanaleta fyoko fyoko Congo, aliwaonesha M23 na wafadhili wao Rwanda, nini nafasi ya Tanzania katika kuhakikisha marafiki zake wanakuwa salama.

Hakuishia Congo tu! Wakati wa jaribio la mapinduzi nchini Comoro, aliweza kuonyesha tena nafasi hiyo ya Tanzania.

Ni bahati mbaya sana alifanya hivyo kwa pride tu na roho nzuri, as hakufanya hivyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi kwa Tanzania. Endapo angefanya yale kama mkopo leo hii hizi nchi zingekuwa zinalipa mabilioni ya fedha kwa Tanzania ambayo tungeyatumia kwa shughuli zetu za kimaendeleo.

Nawamiss sana Viongozi wa JWTZ kipindi cha Kikwete waliosimamia mission hizi tukufu! Gen. Mwamunyange, Lt. Gen Shimbo, Lt. Gen. Paul Ignace Mella na kwa wakati ule Brig. Gen. Mwakibolwa

I truly miss the glory days of Tanzania! I truly miss the glory days of my army JWTZ

Angalizo tu! Kuongelea dialogue na Kagame ni kuzidi kumpa kichwa. Kupitia hiyo Dialogue anaenda kutimiza azma yake ya kuimega Congo na akifanikiwa kituo kinachofuata ni Tanzania.

Bring Back the glory days of Tanzania 💪
Kwa kuongeza, ktk zama za Kikwete, kumbukumbu zimenitoka baadhi ila nafikiri ni Rais wa Burundi kipindi hicho alikuja ziara ya kikazi Tz, Usiku ule Waasi wakajaribu kufanya mapinduzi wakati Rais wao yupo ziarani Dsm, Mpaka kufika asubuhi Tayari jaribio lile lilizimwa na makomando wetu na mambo yakakaa sawa!!
Dada Joyce kule Malawi pia alijikuta pabaya Pale alipokuja kubaini kuwa dhamira zake ovu dhidi ya mpaka wa Tz na Malawi zinavuja kupitia maofisa wake mwenyewe....
 
Kwa kuongeza, ktk zama za Kikwete, kumbukumbu zimenitoka baadhi ila nafikiri ni Rais wa Burundi kipindi hicho alikuja ziara ya kikazi Tz, Usiku ule Waasi wakajaribu kufanya mapinduzi wakati Rais wao yupo ziarani Dsm, Mpaka kufika asubuhi Tayari jaribio lile lilizimwa na makomando wetu na mambo yakakaa sawa!!
Dada Joyce kule Malawi pia alijikuta pabaya Pale alipokuja kubaini kuwa dhamira zake ovu dhidi ya mpaka wa Tz na Malawi zinavuja kupitia maofisa wake mwenyewe....
Kikwete alikuwa a man and a half
 
Nimekuelewa sana.

My point here ni kwamba, it's high time kwa Tanzania kubadili sera yetu ya Mambo ya Nje hasa kwenye eneo la engagement zetu za maeneo ya migogoro. Inawezekana mwanzoni tulikuwa tunaingia kwa nia za kusaidia au baada ya resolutions za UN au AU ila kwa sasa tuanze kuingia kwa maslahi yetu ya kiuchumi.

The goal of Kagame and Museveni ambao umekiri pia ni mazao yetu ni to put a lot of pressure by all means possible ili yale maeneo baadae yajitenge na kuwa annexed kama sehemu ya mataifa yao.

Contrary to 2012 ambapo kulikuwa na viongozi wanaojua hii migogoro vizuri na kufanya maamuzi ambapo nia zao hizo hazikutimia ila saivi wanaonekana wako determined kweli na kwa namna dunia inavyowabembeleza it's seems they are going to achieve this goal.

Congo kwa sasa ni kama ameachwa. Hakuna anayemsaidia kweli. Na it's obvious anahitaji sana msaada saivi kuliko wakati wowote ule.

Swali ni Je hatulioni hili kama fursa? Kwa nini tusiitumie hii kama fursa rasmi? Alafu kumbuka if we do it in Congo today tutakuwa tumefanikiwa ku set a very good precedent na kesho mwingine akiwa na shida atakuja kutu engage na pia tutamsaidia on the same terms za kuangalia maslahi ya kiuchumi.

Ni bahati mbaya sana saivi Viongozi wetu wanaangalia maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa ila if ningekuwa Rais wa Tanzania leo mpaka muda huu ningekuwa nimesha saini makubaliano na Rais wa Congo na vijana wangu wapo kazini tena kwa Tangazo la wazi.

Congo anachokosa ni support ya uhakika kwenye kupambana na ule uharamia ila when it comes to fedha, anazo za kutosha sana.

Saivi Congo analipa vikosi binafsi kutoa ulinzi kwenye maeneo yake. What if hizo hela zote angetulipa sisi tukaweka Military Base zetu hata mbili kule Mashariki mwa Congo na vifaa vya uhakika?


Unadhani tukifanya hivi na wananchi wa Congo wakaona na waka experience matunda yake, Kesho wawekezaji wetu watakuwa na influence kiasi gani nchini Congo?

Niliandika uzi jana kuuliza kuhusu ni kina nani Think Tanks wetu?

Niseme ukweli, umaskini wa Tanzania ni wa kujitakia maana fursa zipo kibao ila tunaongozwa na vilaza ambao hawawezi kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
Nimekusoma vizuri mkuu,
Inaonesha wewe na mie tuna mtazamo mmoja,kwamba Tanzania lazima itumie military muscle yake kuhakikisha usalama ndani ya DRC kwa maslahi ya kiuchumi ya Tanzania indirectly......,sana sana tunatofautiana katika approach.....kwamba wewe unataka Tanzania ijihusishe kiulinzi kwa uwazi katika DRC, na mie naona underground engagement ni approach bora. Lakini yote kwa yote kama Tanzania inataka kunufaika 100% na SGR yake,ni lazima ihakikishe DRC imekuwa tulivu na salama kisiasa na kijamii.
Hili la Tanzania kwa mlango usio rasmi liliwahi kufanywa..na aliyepewa jukumu nyuma ya pazia kukusanya wahusika wa kuingia kazini alikuwa Mchungaji ,mwanasisa Mtikila. Lakini program haikuendelezwa.
This time nimesikia tetesi Tanzania iko tena hilo eneo nyuma ya pazia,. Hata hiiyo habari ya M23 majuzi kuteka airport Goma,lakini muda huu wamekimbizwa tena hadi kwao Gisenyi ni kazi ya jeshi la nyuma ya pazia,..na siyo DRC kivile.
Niliwahi kushauri sehemu fulani,kwwmba kunatakiwa BASE zenye nguvu kila maeneo ya mipaka katika DRC hasa katika mipaka na nchi korofi.
Kwa mfano,Udhaifu wa kukosekana kwa ngome imara kasazini mwa Mozambique kufanya waasi/magaidi watambe katika mkoa wa Cabo Delgado wanavyotaka. Jeshi la serikali ambalo halina nidhamu inabidi lisafiri toka Nampula kuwafuata huko kaskazini. Na ndivyo ilivyo Congo.
 
Nimekusoma vizuri mkuu,
Inaonesha wewe na mie tuna mtazamo mmoja,kwamba Tanzania lazima itumie military muscle yake kuhakikisha usalama ndani ya DRC kwa maslahi ya kiuchumi ya Tanzania indirectly......,sana sana tunatofautiana katika approach.....kwamba wewe unataka Tanzania ijihusishe kiulinzi kwa uwazi katika DRC, na mie naona underground engagement ni approach bora. Lakini yote kwa yote kama Tanzania inataka kunufaika 100% na SGR yake,ni lazima ihakikishe DRC imekuwa tulivu na salama kisiasa na kijamii.
Hili la Tanzania kwa mlango usio rasmi liliwahi kufanywa..na aliyepewa jukumu nyuma ya pazia kukusanya wahusika wa kuingia kazini alikuwa Mchungaji ,mwanasisa Mtikila. Lakini program haikuendelezwa.
This time nimesikia tetesi Tanzania iko tena hilo eneo nyuma ya pazia,. Hata hiiyo habari ya M23 majuzi kuteka airport Goma,lakini muda huu wamekimbizwa tena hadi kwao Gisenyi ni kazi ya jeshi la nyuma ya pazia,..na siyo DRC kivile.
Niliwahi kushauri sehemu fulani,kwwmba kunatakiwa BASE zenye nguvu kila maeneo ya mipaka katika DRC hasa katika mipaka na nchi korofi.
Kwa mfano,Udhaifu wa kukosekana kwa ngome imara kasazini mwa Mozambique kufanya waasi/magaidi watambe katika mkoa wa Cabo Delgado wanavyotaka. Jeshi la serikali ambalo halina nidhamu inabidi lisafiri toka Nampula kuwafuata huko kaskazini. Na ndivyo ilivyo Congo.
Kama kweli hilo linafanyika ni habari njema kwa kweli.

Msisitizo focus now iwe kwa maslahi ya kiuchumi zaidi na tuweke kabisa Military Base pale
 
Jamaa wanaenda Kivu Kusini saivi. Tanzania tupo wapi?
 
Back
Top Bottom