Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Baada ya sare kadhaa kwenye ligi wachambuzi wa soka walimshutumu na kulaumu mbinu za Kocha wa Yanga hali iliyopelekea Kaze mwenyewe kutoka hadharani na kueleza kusikitishwa na namna wachumbuzi wa soka nchini wanavyomsema na kukosoa mifumo yake.
Kwa mtu mwenye ufahamu na uelewa mzuri wa mpira ataungana nami kwamba kocha Kaze ameshindwa kuitengeneza timu. Kila mchezaji anacheza kivyake. Viwango vya wachezaji vimeporomoka sana.
Mashambulizi yanayotengenezwa na washambuliaji wa Yanga ni rahisi kuyatabiri.Wachezaji hawana ubunifu kabisa katika eneo la mwisho.
Kwangu timu inapokosa mbinu,mtu wa kwanza kulaumiwa ni kocha na Kaze ajiandae kisaikolojia. Endapo timu itaendelea na mwenendo huu basi atakosolewa sanaa.
Kama hataki kusemwa basi lazima abadilishe kitu kwenye timu.
Kwa mtu mwenye ufahamu na uelewa mzuri wa mpira ataungana nami kwamba kocha Kaze ameshindwa kuitengeneza timu. Kila mchezaji anacheza kivyake. Viwango vya wachezaji vimeporomoka sana.
Mashambulizi yanayotengenezwa na washambuliaji wa Yanga ni rahisi kuyatabiri.Wachezaji hawana ubunifu kabisa katika eneo la mwisho.
Kwangu timu inapokosa mbinu,mtu wa kwanza kulaumiwa ni kocha na Kaze ajiandae kisaikolojia. Endapo timu itaendelea na mwenendo huu basi atakosolewa sanaa.
Kama hataki kusemwa basi lazima abadilishe kitu kwenye timu.