Ni Tanzania tu kocha ambaye hajafungwa hata mechi moja kwenye mashindano yote aliyocheza anaimbwa kua mbovu. Shida ni ushabiki, simba akishinda tatu, basi na yanga ashinde tatu ili kijiweni story zibalansi.
Simba ipo pale kwa zaidi ya miaka 3, wachezaji wengi wamekaa kwa mda mrefu na usajili wao ni wa kuziba gap ndogo ndogo... Yanga msimu huu karibu kikosi chote cha kwanza ni kipya! Kocha ana struggle kutafuta mfumo na chemistry, ndio maana anabadili na kununua wachezaji kwa mikataba mifupi mifupi ya miezi 6 ili kupata watu wa uhakika. Mafanikio ni suala la mda and not an overnight process!!! Ila bongo nyosooo
Sent from my Android using
JamiiForums mobile app