Kwa Yanga hii tuliyoiona, kuna timu Uingereza hazitoboi

Inashiriki kombe gan hapa Afrika Championship OR Confederation ?
 
Inashiriki kombe gan hapa Afrika Championship OR Confederation ?
Kumbe bado ipo michuano ya Afrika, nilidhani haipo michuano yoyote, nilitaka kushangaa timu bora kama Yanga inakosaje.
 
Caf confederation cup ndo itatoa majibu ya bahasha na ulozi wa wazee wa jezi nyeusi.
 
Luc alikuwa sahihi sana, utopolo kumkichwa hamnamo kitu.
 
Caf confederation cup ndo itatoa majibu ya bahasha na ulozi wa wazee wa jezi nyeusi.
Yah ndio tutajua sasa kati ya Yanga au manyonyo fc nani ana timu nzuri mana makundi yote magumu hakuna kusingizia sijui hii confederation au hii champions.
 
Real Bamako kwa matokeo haya ya last 5 games tutamtafuna kama karanga [emoji1645]

[emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172]
 
Mla mihogo katika ubora wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…