Kwa Yanga hii tuliyoiona, kuna timu Uingereza hazitoboi

Yanga imemtambulisha rasmi mchambuzi wa video kutoka Tunisia bwana Kahalil Yousef. Haya ni mageuzi makubwa katika soka la Tanzania, bila shaka Yanga inapita njia sahihi za kuwa moja ya klabu tishio hapa Africa, kwa mwenendo huu hakika Yanga ndiyo itakayokuwa klabu ya kwanza Tz kubeba moja ya kombe kubwa Afrika.

Daima Mbele Nyuma Mwiko
 
Kwani mmemalizana nao simnaenda na kwao
Vipi matokeo yalikuwaje mana tulienda na kwao mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haiwezi kutoboa kwenye timu inayocheza National league(Daraja la 5) huko Uingereza.

Kama inaweza, ikacheze na timu yeyote kwenye hiyo league.

Nimekaa palee....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lazima mechi ichezwe, haiahirishwi mechi hapaa.
 
Yanga yakwea mpaka nafasi ya 9 Africa na ya 104 kidunia according to IFFHS.

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…