General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Gari ya kwanza nimeagiza enhance auto tena bila hata kufika ofisini kwao, nikatumiwa invoice nikalipia crdb, gar imefika poa kabisa. Ya pili hivyohivyo ilikuwa ka polo tena kalikuwa kamoja. Sasa imeagiza ist auto jp nimelipia wiki iliyopita nasubiri ije mjini nipige bei