kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Mkuu hii ni Raum ya mwaka 2019Kama waliandika ni Raum ya 2017, walikudanganya kidogo. Raum ziliishia mwaka 2011.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii ni Raum ya mwaka 2019Kama waliandika ni Raum ya 2017, walikudanganya kidogo. Raum ziliishia mwaka 2011.
Angalia vizuri credibility ya chanzo chako cha habari, nina hakika utarudi hapa na kusema hakuna Raum ya huo mwaka.Mkuu hii ni Raum ya mwaka 2019View attachment 1163688
huko kwenu ni wapi mkuu ? na hayo mengine ni yapi ?
moja ya sifa za BEFORWARD ni picha zake ziko wazi vyakutosha pili wana wateja wengi sn gari halicherewi, tatu clearing charge hakuna longo longo kila kitu wazi wazi sio SBT inabidi kujadili na mtu mwingine tena baki mbaya wanakuletea wao bora km wangekuwa wanakujulisha wewe uchague mtu wako. Nne hakuna kabisa udokozi....
ni mengi na nina uzoefu sana na BEFORWARD mwisho utanidhania mm nawafanyia Promotion hapana kabisa mm ni mteja wao tu la mwisho wanazo discount point kwa wale wanaonunua magari mengi wanalijua faida yake.
Mkuu wewe ndio mtengenezaji?Angalia vizuri credibility ya chanzo chako cha habari, nina hakika utarudi hapa na kusema hakuna Raum ya huo mwaka.
mhhh hadi tyre? hii chai mzeeSBT Wako vizuri na bei zao ziko chin8 kidogo kuliko hao befoward,mimi niliagiza Rav 4 yenye engine ya 1ZZ toka sep 2016 gari bado inapiga mzigo vizuri,battery,tairi ni hizo hizo zilizikuja na gari,sijawahi badilisha chochote zaidi ya kufanya service na linapiga masafa sana tu