Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hiyo miundombinu ya kukata kodi hayo makampuni makubwa ya teknolojia.Kila nchi ikianza kukata revenue kulingana na users waliotoka kwake itakuwa machafuko matupu.
Upwork wanakata 20% hiyo siyo kodi ni malipo ya kutumia site yao, freelancer 10%Mfano kama upwork/fiver/freelancer hio kodi unakatwa automatically mfano kama umesign ukiwa Tz ???
TCRA itai-tax vipi Twitter, Facebook au Google ?Mfano TCRA?
Zile hawalipi Facebook, Twitter wala GoogleNilikuwa nazungumzi ada zile fee zao naona ni kama kodi tu indirect
Unaweza kumonetize channel Kwa kuuza vitu kama ebooks ulizotengeneza mwenyewe Kwa mfano kama video zako ni tutorials, vitabu vinaweza kupa kipato.Jambo kubwa ni kjjikita kwenye affiliate marketing na matangazo ya direct kutoka kwa watu utakao zungumza nao yakusponsor videos zako utakazopost
Mkuu hizo ni pesa nyingi sana ulitengeneza kwa muda gani na content zako zilihusu nini?Youtube sina hamu nao tena..
Walivoni tapeli $41,500 zangu dah!
Eti wakaandika "suspicious security breach" wakati hela nimei-fight mwaka mzima.
6es zipo site mbali mbali wanauza digital product ... mtu anaweza kuzitumiaUnaweza kumonetize channel Kwa kuuza vitu kama ebooks ulizotengeneza mwenyewe Kwa mfano kama video zako ni tutorials, vitabu vinaweza kupa kipato.
Affiliate mfano WA Amazon kamisheni imepungua siku hizi.